- 29 views
Kundi la wabunge wa mrego wa Kenya Kwanza limewahakikishia Wakenya kuwa rasimu ya bajeti ya kitaifa iliyopendekezwa siyo ya mwisho kwani wananuia kuifanyia marekebisho makubwa bungeni. Wakiongozwa na mbunge wa Laikipia Mashariki Mwangi Kiunjuri, viongozi hao walisema watapatia suala la ulipaji wa madeni ya serikali kipaumbele ili kuhakikisha uendelevu wa kifedha wa taifa hili mbali na kukamilishwa kwa miradi muhimu ya maendeleo kabla ya kuzinduliwa kwa mingine mipya. Viongozi hao waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa maktaba katika shule ya msingi ya Kanjeru walikariri kujitolea kwao kuunga mkono mipango ya serikali wakisema kufanya hivyo kuna manufaa mengi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kielelezo cha bajeti kufanyiwa marekebisho
- 28 Feb 2025 - Deputy President Kithure Kindiki is asking Mt. Kenya residents to ignore his impeached predecessor, Rigathi Gachagua.
- 28 Feb 2025 - Mt Kenya East region will reap handsomely from President William Ruto’s administration, with many development projects worth billions of shillings set for completion and others earmarked for commencement.
- 28 Feb 2025 - Detectives in Nairobi have arrested two men for allegedly swindling a Chinese national Ksh.6.5 million while posing as cryptocurrency exchange experts at Rose Gardens in Kileleshwa.
- 28 Feb 2025 - In the first two months of the year, Kenya has recorded 180 forest fire incidents, burning approximately 1,358 hectares of vegetation in gazetted forests across the Mau (Maasai Mau), North Rift, Coast, Central Highlands (Mt. Kenya and Aberdares), and…
- 28 Feb 2025 - Universities call on the government to bail them out of huge debt.
- 28 Feb 2025 - Central Organization of Trade Unions (COTU) Secretary-General Francis Atwoli has criticized political parties using the color purple, claiming it was patented by COTU in 2008.
- 28 Feb 2025 - The university has previously grabbed headlines over its dubious conduct.
- 28 Feb 2025 - The ruling comes after the Salaries and Remuneration Commission's powers were challenged in court.
- 28 Feb 2025 - Bishops raise concerns over intensifying political climate more than two years to the polls.
- 28 Feb 2025 - The latest statement follows an earlier stance from the church that has placed it in conflict with the political class.