- 3,461 views
Idara ya utabiri wa hali ya anga nchini imetoa tahadhari ya upepo mkali na kimbunga kwa watu wanaoishi maeneo ya Pwani ya Kenya kuanzia leo hadi jumatatu ijayo. Kwa mujibu wa idara hii, eneo la mwambao wa pwani litashuhudia mawimbi mazito baharini, kwenye hali iliyochangiwa na kimbunga kinachofahamika kama Hidaya ambacho kimeanza kushuhudiwa katika visiwa vya Comoros. Kimbunga hicho kinatarajiwa kuongeza maradufu viwango vya mvua. Aidha, Katika muda wa saa 24, maeneo kama Ziwa Victoria, Bonde la ufa, magharibi na mashariki mwa nyanda za juu za bonde la ufa pamoja na Nairobi zitashuhudia makali ya hali ya hewa kuanzia leo hadi tarehe tano mwezi huu. Mvua kubwa zinatarajiwa kuathiri kaunti arobaini na mbili nchini. Sasa Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari kutokana na kushuhudiwa kwa mafuriko ya ghafla na hata ukungu kushuhudiwa maeneo mengine na kutatiza watu kuona. Taarifa hii imewasilishwa kwa Rais, baraza la mawaziri pamoja na idara zinazohusika na masuala ya mazingira, misitu na majanga.
Kimbunga Hidaya kushuhudiwa mwambao wa Pwani
- 17 May 2024 - Taiwanese lawmakers shoved, tackled and hit each other in parliament on Friday in a bitter dispute about reforms to the chamber, just days before President-elect Lai Ching-te takes office without a legislative majority.
- 17 May 2024 - Parliament has raised the red flag over alleged massive graft in the issuance of capitation funds to Junior Secondary Schools (JSS) across the country.
- 17 May 2024 - National Assembly Finance Committee Chairman and Molo MP Kuria Kimani has shed light on the rationale behind the Treasury's proposal to introduce a 16% Value Added Tax (VAT) on bread.
- 17 May 2024 - It was also alleged that the government removed the tarmac leading to the embassy.
- 17 May 2024 - Israeli government splits over the war in Gaza broke open this week, after the Defence Minister publicly demanded a clear strategy from Prime Minister Benjamin Netanyahu as troops returned to battle Hamas fighters in areas thought to have been cleared…
- 17 May 2024 - COMESA's energy body is tasked with, among other things, capacity building and information sharing, facilitation of energy supply policy, legislation, and regulations.
- 17 May 2024 - A Nairobi court has ordered the forfeiture of a*sorted brands of smuggled milk powder worth over Ksh500,000 recently seized in Eastleigh, Nairobi in multi-agency operations. The orders by Milimani Chief Magistrate Bernard Ochoi follow an application by…
- 17 May 2024 - NAIROBI, Kenya May 17 – The implementation of recommendations of the taskforce on reforms chaired by former Chief Justice David Maraga are now in limbo after the National Treasury failed to allocate budget for the actualization of the report. The…
- 17 May 2024 - Kenyan government, like others across the world, is considering various restrictions on Tiktok use.
- 17 May 2024 - SIAYA, Kenya, May 17 – Alego / Usonga Member of Parliament, Samuel Atandi has urged Kenyans to take to the streets if the Kenya Kwanza regime insists on heavy taxation.Atandi, who has vowed to oppose the finance bill, 2024 that seeks to increase…