- 1,625 views
Kupendekezwa kwa Abraham Kithure Kindiki na Rais William Ruto haukuwashangaza wengi kwani Minong'ono ilikuwa tayari imesambaa katika mitandao ya kijamii. Rais Ruto akionekana kurejelea uamuzi wake wa kabla ya uchaguzi wa mwaka wa 2022. Wakati huu akimchagua Kindiki kama Naibu Rais na Kumtema Rigathi Gachagua. Kijijini Irunduni Kaunti ya Tharaka Nithi nyumbani kwa Kindiki Shangwe na Nderemo zilitanda huku Viongozi waliomezea mate kiti hicho wakiimuunga mkono Kindiki.
Kithure Kindiki aibuka chaguo la rais Ruto kuwa naibu wake
- 18 Oct 2024 - Ghana's parliament has tipped in favour of the main opposition party by one seat, after the defection of four MPs, less than two months before general elections.
- 18 Oct 2024 - Rigathi Gachagua stands the risk of becoming one of the shortest-serving deputy presidents in Kenya after his impeachment went through the Senate.
- 18 Oct 2024 - Detectives in Nairobi have arrested a suspected SIM card fraudster and recovered numerous lines and assorted mobile phones.
- 18 Oct 2024 - Former lawmakers Zebedeo Opore and Beatrice Nkatha pass on.
- 18 Oct 2024 - The owners and the Ministry of Education are accused of hurriedly reopening the school after a fire that killed 21 boys.
- 18 Oct 2024 - Former lawmakers Zebedeo Opore and Beatrice Nkatha pass on.
- 18 Oct 2024 - He lost his wife, two sons, a daughter-in-law and two grandsons in the tragic events.
- 18 Oct 2024 - The High Court in Kerugoya has now issued orders barring Prof. Kithure Kindiki from assuming the Deputy President’s office pending the hearing and determination of a case.
- 18 Oct 2024 - Dutch beer maker to pay Kenyan distributor Sh 1.7b after Supreme Court loss
- 18 Oct 2024 - High Court in Kerugoya halts Kithure Kindiki's appointment as DP