- 19 views
Wakaazi wa Kaloleni kaunti ya Kilifi wameelezea kufurahishwa kwao nbaada ya serikali ya kitaifa kuanzisha ujenzi wa kituo cha Huduma eneo hilo kwani itarahisisha kupata huduma za serikali. Akizungumza wakati wa sherehe ya kuweka jiwe la msingi huko kaloleni afisa mkuu wa kituo cha Huduma Ben Kai amethibitisha kuwa ujenzi wa kituo hicho utakamilika mwisho wa mwaka huu. Mradi huo utapunguzia wenyeji taabu ya kusafiri hadi mjini Mombasa kupata stakabadhi muhimu kama vile cheti cha kuzaliwa.aidha ameongeza kuwa wakaazi watapewa kipao mbele katika mradi huo wa ujenzi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kituo cha Huduma chafunguliwa Kaloleni, Mombasa
- - CitizenTV Live ››
- 18 Mar 2025 - Healthcare workers in Nairobi took to the streets on Tuesday in a bold protest, demanding fair treatment and job security.
- 18 Mar 2025 - Israeli airstrikes pounded Gaza and killed more than 400 people, Palestinian health authorities said on Tuesday, ending weeks of relative calm after talks to secure a permanent ceasefire stalled.
- 18 Mar 2025 - The family of Margaret Nduta is holding on to hope after she was spared from a scheduled execution on Monday evening.
- 18 Mar 2025 - Makueni Governor Mutula Kilonzo Jr has unveiled a County Technical Working Team to assess the effects of oil spillage in Thange Ward, Kibwezi East Constituency.
- 18 Mar 2025 - Ghana’s President John Mahama’s verified X account was hacked for 48 hours, with cybercriminals using it to promote a fraudulent cryptocurrency project, his spokesperson confirmed on Tuesday.
- 18 Mar 2025 - Continued rainfall is expected across several parts of Kenya this week, the Kenya Meteorological Department has announced.
- 18 Mar 2025 - Nominated Senator Gloria Orwoba on Tuesday afternoon walked out of the Senate after declining to read the prescribed apology following her month-long suspension for breaching the Parliamentary Code of Conduct.
- 18 Mar 2025 - The Senate Committee on Roads has scheduled a three-day retreat in April to assess the progress of Nairobi’s Urban Renewal Project, which spans over ten estates in the city.
- 18 Mar 2025 - Kiharu MP Ndindi Nyoro declined to speak about his political future, saying time for that will come.
- 18 Mar 2025 - The government through the Higher Education Loans Board [HELB] has disbursed Ksh.1.56B to students and trainees for tuition and upkeep.