- 19 views
Wakaazi wa Kaloleni kaunti ya Kilifi wameelezea kufurahishwa kwao nbaada ya serikali ya kitaifa kuanzisha ujenzi wa kituo cha Huduma eneo hilo kwani itarahisisha kupata huduma za serikali. Akizungumza wakati wa sherehe ya kuweka jiwe la msingi huko kaloleni afisa mkuu wa kituo cha Huduma Ben Kai amethibitisha kuwa ujenzi wa kituo hicho utakamilika mwisho wa mwaka huu. Mradi huo utapunguzia wenyeji taabu ya kusafiri hadi mjini Mombasa kupata stakabadhi muhimu kama vile cheti cha kuzaliwa.aidha ameongeza kuwa wakaazi watapewa kipao mbele katika mradi huo wa ujenzi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kituo cha Huduma chafunguliwa Kaloleni, Mombasa
- 19 Mar 2025 - A 55-year-old woman has been sentenced to 50 years in prison or pay a fine of Ksh.50 million for trafficking 3.9 kilograms of heroin.
- 19 Mar 2025 - In an era where digital platforms are reshaping how communities engage, an Assistant Chief in Kipcherere, Baringo County has taken the initiative to embrace technology in a way that not only entertains but also educates.
- 18 Mar 2025 - A section of MCAs, who ideally should exercise oversight in the devolved units, are hindering the fight against corruption.
- 18 Mar 2025 - Healthcare workers in Nairobi took to the streets on Tuesday in a bold protest, demanding fair treatment and job security.
- 18 Mar 2025 - Israeli airstrikes pounded Gaza and killed more than 400 people, Palestinian health authorities said on Tuesday, ending weeks of relative calm after talks to secure a permanent ceasefire stalled.
- 18 Mar 2025 - The family of Margaret Nduta is holding on to hope after she was spared from a scheduled execution on Monday evening.
- 18 Mar 2025 - Makueni Governor Mutula Kilonzo Jr has unveiled a County Technical Working Team to assess the effects of oil spillage in Thange Ward, Kibwezi East Constituency.
- 18 Mar 2025 - The utility firm said the interruption will be effected between 8 am to 5pm
- 18 Mar 2025 - Ghana’s President John Mahama’s verified X account was hacked for 48 hours, with cybercriminals using it to promote a fraudulent cryptocurrency project, his spokesperson confirmed on Tuesday.
- 18 Mar 2025 - Continued rainfall is expected across several parts of Kenya this week, the Kenya Meteorological Department has announced.