- 90 views
STBY VCR NATS UP Mradi wa eneo la utafiti wa ubaharia wa Kabonyo Kanyagwal utakamilika kufikia mwezi Juni mwaka ujao, ili kuimarisha shughuli za uvuvi katika ukanda wa Magharibi Akizungumza baada ya kuzuru mradi huo eneo la Nyando kaunti ya Kisumu, naibu rais Kithure Kindiki alisema kuwa ujenzi huo ni mojawapo ya miradi ya kupiga jeki uchumi wa majini humu nchini ili kubuni nafasi zaidi za ajira. Vile vile mradi huo unatarajiwa kutoa maji ya unyunyuzaji ili kukuza kilimo katika kaunti ya Kisumu. Rais William Ruto alizindua mradi wa Kabonyo Kanyagwal mwaka 2023 na unatarajiwa kugharimu shilingi bilioni 1.3 kujenga kituo cha utafiti na uzalishaji wa samaki.
Kituo cha utafiti wa ubaharia cha Kabonyo Kanyagwal kukamilika mwaka ujao
- 16 Apr 2025 - A petition has been filed in court seeking to compel Government to settle all unpaid pending bills accrued between June 1, 2005 and June 30, 2022.
- 16 Apr 2025 - A Kiambu based civil society now wants governor Kimani Wamatangi to be arraigned in court following Tuesday interrogation by the Ethics and Anti-corruption Commission (EACC).
- 16 Apr 2025 - Two police officers have been arraigned before the Milimani Law Courts in Nairobi and charged with torture and abuse of office.
- 16 Apr 2025 - Two officials from the Kakamega Civil Registration Department were arrested on Tuesday for allegedly soliciting and receiving bribes from applicants seeking civil registration documents.
- 16 Apr 2025 - In a win for Scottish gender-critical campaigners who brought the case to the UK's highest court, five London judges unanimously ruled "the terms 'woman' and 'sex' in the Equality Act 2010 refer to a biological woman, and biological sex".
- 16 Apr 2025 - Over the last couple of months, President William Ruto has gone on an image defending overdrive, appearing to be intently keen on reminding Kenyans that he's a sober-minded individual who is acutely in charge of the nation's affairs.
- 16 Apr 2025 - The project is expected to be carried out within the year.
- 16 Apr 2025 - The MP claimed that the party has an intention of denying him a ticket in the upcoming elections.
- - Lost Password ‹ KBC Digital
- - Log In ‹ KBC Digital