- 20 views
Jaji mkuu Martha Koome amejitolea kuhakikisha kwamba usalama wa majengo ya mahakama, majaji, maafisa na wafanyakazi wa idara ya mahakama wanapotekeleza majukumu yao umedumishwa. Akiongea wakati wa ibada maalum iliyoandaliwa katika mahakama ya Makadara kumuomboleza hakimu mwandamizi Monica Kivuti, ambaye aliuawa akiwa kazini juma lililopita, Koome alikariri kwamba kisa hicho cha kuhuzunisha kimebainisha mianya ya kiusalama kwenye idara ya mahakama ambayo imedumu kwa muda mrefu, hali ambayo alisema sharti ishughulikiwe. Mwanahabari wetu Ruth Wamboi alihudhuria hafla hizo mbili zilizoandaliwa katika mahakama za Milimani na Makadara, na kutuandalia taarifa ifuatayo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Koome ataka usalama wa maafisa wa mahakama uimarishwe
- 28 Sep 2024 - Deputy President Rigathi Gachagua's allies have attributed his tribulations in government to what they describe as coordinated efforts to undermine his office.
- 28 Sep 2024 - The journey ahead demands a closer look at both the triumphs and the gaps that remain.
- 28 Sep 2024 - The implementation of the Social Health Insurance Fund (SHIF) is in complete disarray as members of the public infiltrated virtual training sessions meant for public health officials across the country regarding the registration and use of the new…
- 28 Sep 2024 - The Law Society of Kenya (LSK) has filed a contempt of court application against Inspector General of Police Douglas Kanja.
- 28 Sep 2024 - New scheme risks merely shifting financial burdens without improvements in healthcare quality.
- 28 Sep 2024 - The web of firms taking over your healthcare
- 28 Sep 2024 - Angry Kenyans raise concerns over rollout of new health scheme
- 28 Sep 2024 - Doctors want Nairobi Hospital board audited, shown the door
- 28 Sep 2024 - Confusion as top officials snub SHA digital demonstration event
- 28 Sep 2024 - NG-CDF's fate sealed, time legislators kissed the fund goodbye