- 4 views
Serikali ya kitaifa kwa ushirikianao na serikali ya kaunti ya Busia imeimarisha juhudi za kukabiliana na ugonjwa wa malaria katika maeneo chepechepe na misitu kwa kutumia droni kunyunyiza dawa za kuangamiza viluilui. Akiongea wakati wa uzinduzi wa awamu ya tatu ya kampeni ya kukabiliana na ugonjwa wa Malaria katika kaunti ya BusiaDkt Willis Akhwale ambaye ni katibu wa baraza la kitaifa la kudhibiti ugonjwa wa Malaria alisisitiza kuwa changamoto kuu zinazosibu kaunti ya Busia ni uwepo wa eneo chepechepe na chemi chemi nyingi za maji ambazo zinachangia ongezeko la visa vya ugonjwa wa Malaria. Alisema kuwa teknnolojia ya droni tayari imepiga hatua katika kupunguza visa vya ugonjwa huo. Dkt Akhwale pia alihimiza wakazi kushiriki katika vita dhidi ya ugonjwa wa malaria kwa kutumia neti zilizowekwa dawa na kutafuta usaidizi wa matibabu iwapo wataambukizwa
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kukomesha malaria : Kaunti ya Busia yaimarisha mikakati
- 19 Mar 2025 - A 55-year-old woman has been sentenced to 50 years in prison or pay a fine of Ksh.50 million for trafficking 3.9 kilograms of heroin.
- 19 Mar 2025 - In an era where digital platforms are reshaping how communities engage, an Assistant Chief in Kipcherere, Baringo County has taken the initiative to embrace technology in a way that not only entertains but also educates.
- 18 Mar 2025 - A section of MCAs, who ideally should exercise oversight in the devolved units, are hindering the fight against corruption.
- 18 Mar 2025 - Healthcare workers in Nairobi took to the streets on Tuesday in a bold protest, demanding fair treatment and job security.
- 18 Mar 2025 - Israeli airstrikes pounded Gaza and killed more than 400 people, Palestinian health authorities said on Tuesday, ending weeks of relative calm after talks to secure a permanent ceasefire stalled.
- 18 Mar 2025 - The family of Margaret Nduta is holding on to hope after she was spared from a scheduled execution on Monday evening.
- 18 Mar 2025 - Makueni Governor Mutula Kilonzo Jr has unveiled a County Technical Working Team to assess the effects of oil spillage in Thange Ward, Kibwezi East Constituency.
- 18 Mar 2025 - The utility firm said the interruption will be effected between 8 am to 5pm
- 18 Mar 2025 - Ghana’s President John Mahama’s verified X account was hacked for 48 hours, with cybercriminals using it to promote a fraudulent cryptocurrency project, his spokesperson confirmed on Tuesday.
- 18 Mar 2025 - Continued rainfall is expected across several parts of Kenya this week, the Kenya Meteorological Department has announced.