- 122 viewsUchaguzi wa Marekani ni miongoni mwa chaguzi zenye gharama kubwa zaidi duniani. Uchaguzi mkuu wa Uingereza mwaka 2019, matumizi ya kisiasa yalikuwa mara 24 chini kuliko ya uchaguzi wa Marekani 2020. Wakati wa uchaguzi wa Australia mwaka 2019, vyama vya siasa vilitumia chini ya nusu ya vyama vya siasa vya Marekani vilivyotumia kwa kila mtu mwaka uliofuata. India kihistoria ilikuwa na uchaguzi wa gharama sana mwaka 2019. Kiwango hicho kilizidi matumizi ya wakati wa uchaguzi wa Marekani mwaka 2016, lakini hakikufikia gharama za uchaguzi wa Marekani 2020. Mwaka 2020, zaidi ya dola bilioni16 zilitumika katika uchaguzi wa rais na wabunge. Hiyo inajumuisha pesa zote zilizotumiwa na wagombea urais, wagombea wa seneti na wawakilishi, vyama vya siasa na makundi huru yanajaribu kufanya ushawishi katika uchaguzi. Wagombea wanatumia pesa kwenye nini? Kiwango kikubwa kinakwenda kwenye matangazo. Aina nyingine za matumizi ni pamoja na gharama za uendeshaji, mishahara ya wafanyakazi wa kampeni, na jitihada za uchangishaji pesa ili kupata pesa zaidi. Je, mgombea tajiri sana anaweza kushinda? Si wakati wote, lakini mara nyingi. Wakati wa uchaguzi wa katikati ya muhula Marekani wa 2022, asilimia 93 ya wagombea katika baraza la wawakilishi walitumia pesa nyingi zaidi na asilimia 82 ya wagombea waliotumia peza nyingi katika seneti walishinda. Mara baada ya mgombea kushinda uchaguzi, utegemezi wa pesa hauishi. Maafisa waliochaguliwa mara kwa mara hutumia sehemu ya siku zao kuchangisha pesa kwa ajili ya kampeni ijayo. #uchaguzimarekani2024 #gharama #matumizi #seneti #wawakilishi #voa #voaswahili #warepublikan #wademokratiki #dunia
Kulinganisha gharama za uchaguzi wa Marekani na zile za nchi nyingine
- - Duniani Leo ››
- 21 Apr 2025 - The death of Pope Francis on Monday sets in motion centuries-old traditions which will culminate in the election by cardinals of a new pontiff -- but with a few changes.
- 21 Apr 2025 - Here are some key dates in the life of Pope Francis, the first Jesuit and Latin American pope, who died on Monday aged 88:
- 21 Apr 2025 - Pope Francis, the first Latin American leader of the Roman Catholic Church, has died, the Vatican said in a video statement on Monday.
- 21 Apr 2025 - The 88-year-old pontiff died at his home at his residence in the Vatican's Casa Santa Marta.
- 21 Apr 2025 - Embakasi East Member of Parliament (MP) Babu Owino has suggested a potential joint presidential bid in 2027 with his Kiharu counterpart Ndindi Nyoro.
- 21 Apr 2025 - Key quotes from Pope Francis’s papacy: – Humility – “Pray for me” – pronounced at the end of every speech, because, he once explained, “I am a sinner too.” His first tweet and first post on Instagram were versions of the mantra. – The poor – “How I…
- 21 Apr 2025 - When a pope dies, the Roman Catholic Church begins a series of elaborate rituals.
- 21 Apr 2025 - pope Francis will also be the first Pope in more than a Century to be buried outside the Vatican.
- 21 Apr 2025 - Four people are feared dead after a septic tank collapsed beneath a local football viewing hall in the Bamburi Mwisho area of Nyali Constituency, Mombasa County, on Sunday evening. According to Mombasa County Commissioner Mohammed Noor, the incident…
- 21 Apr 2025 - Before his papacy, Pope Francis served as the Archbishop of Buenos Aires and was a cardinal in the Vatican.