- 54 viewsUchaguzi wa Marekani ni miongoni mwa chaguzi zenye gharama kubwa zaidi duniani. Uchaguzi mkuu wa Uingereza mwaka 2019, matumizi ya kisiasa yalikuwa mara 24 chini kuliko ya uchaguzi wa Marekani 2020. Wakati wa uchaguzi wa Australia mwaka 2019, vyama vya siasa vilitumia chini ya nusu ya vyama vya siasa vya Marekani vilivyotumia kwa kila mtu mwaka uliofuata. India kihistoria ilikuwa na uchaguzi wa gharama sana mwaka 2019. Kiwango hicho kilizidi matumizi ya wakati wa uchaguzi wa Marekani mwaka 2016, lakini hakikufikia gharama za uchaguzi wa Marekani 2020. Mwaka 2020, zaidi ya dola bilioni16 zilitumika katika uchaguzi wa rais na wabunge. Hiyo inajumuisha pesa zote zilizotumiwa na wagombea urais, wagombea wa seneti na wawakilishi, vyama vya siasa na makundi huru yanajaribu kufanya ushawishi katika uchaguzi. Wagombea wanatumia pesa kwenye nini? Kiwango kikubwa kinakwenda kwenye matangazo. Aina nyingine za matumizi ni pamoja na gharama za uendeshaji, mishahara ya wafanyakazi wa kampeni, na jitihada za uchangishaji pesa ili kupata pesa zaidi. Je, mgombea tajiri sana anaweza kushinda? Si wakati wote, lakini mara nyingi. Wakati wa uchaguzi wa katikati ya muhula Marekani wa 2022, asilimia 93 ya wagombea katika baraza la wawakilishi walitumia pesa nyingi zaidi na asilimia 82 ya wagombea waliotumia peza nyingi katika seneti walishinda. Mara baada ya mgombea kushinda uchaguzi, utegemezi wa pesa hauishi. Maafisa waliochaguliwa mara kwa mara hutumia sehemu ya siku zao kuchangisha pesa kwa ajili ya kampeni ijayo. #uchaguzimarekani2024 #gharama #matumizi #seneti #wawakilishi #voa #voaswahili #warepublikan #wademokratiki #dunia
Kulinganisha gharama za uchaguzi wa Marekani na zile za nchi nyingine
- - RICE FORTIFICATION ››
- 22 Oct 2024 - Environment Cabinet Secretary Aden Duale has directed the National Environment Management Authority (NEMA) to begin a crackdown on noise polluters.
- 22 Oct 2024 - The repatriation of four Turkish nationals back to their home country has sparked heated debate with various non-governmental bodies slamming the seemingly undiplomatic act.
- 22 Oct 2024 - More than 100 female professional footballers from 24 countries have called on the sport's governing body FIFA to end its sponsorship deal with Saudi oil giant Aramco, citing human rights issues and treatment of the LGBTQ+ community as well as…
- 22 Oct 2024 - Ukraine's population has declined by around eight million since Russia invaded in February 2022, sparking an exodus and sending birth rates plunging, the United Nations said Tuesday. The UN Population Fund said there had not been a census, but that…
- 22 Oct 2024 - The Ministry of Agriculture has banned macadamia harvesting with effect from November 2, 2024 until March 1, 2025, to curb the export of immature nuts. Agriculture Cabinet Secretary (CS) Andrew Karanja said the decision was after consultations with…
- 22 Oct 2024 - Turkish President Recep Tayyip Erdogan on Tuesday condemned late preacher Fethullah Gulen and his followers as traitors and vowed to pursue them globally, following the influential cleric's death in exile. "These traitors managed to escape Turkish…
- 22 Oct 2024 - The fire erupted in one house before spreading to other homes.
- 22 Oct 2024 - This is an updated breed of car robberies where burglars are no longer using guns as previously witnessed.
- 22 Oct 2024 - Cabinet Secretary for Investments, Trade and Industry Salim Mvurya has called for actionable strategies to address mental health challenges in prisons. While acknowledging the prevalence of mental health issues in correctional institutions, the CS…
- 22 Oct 2024 - The government insists that the initiative is designed to meet the critical housing needs of the citizens.