- 21 views
Watoto elf-13 wa shule za Chekechea katika wadi kumi za kaunti ya Isiolo sasa wataanza kunywa uji uliorutubishwa kila wakati wanapofika shuleni kwa hiani ya serikali ya kaunti hiyo. Akiongea katika uwanja wa polisi wa Isiolo ambako alianzisha msafara wa malori yanayopeleka magunia ya unga wa uji katika hule za Chekechea, katibu wa serikali ya kaunti ya Isiolo, Dade Boru alisema unga huo wa uji umetayarishwa na una virutubishi vingi vya kujenga mwili. Aidha hatua hiyo itasaidia kudumisha watoto hao shuleni.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Lishe shuleni : Watoto elfu-13 kupokea uji shuleni Isiolo
- - 🔴LIVE | TV47 MATUKIO ››
- 19 Mar 2025 - US President Donald Trump and Russian counterpart Vladimir Putin began a critical phone call on Tuesday, with the White House saying the talks on securing a ceasefire in Moscow's invasion were "going well."
- 19 Mar 2025 - Al Shabaab militants targeted Somalia's President Hassan Sheikh Mohamud in a bomb attack on his motorcade as it was traveling through the capital Mogadishu on Tuesday, the Islamist group said.
- 19 Mar 2025 - A 55-year-old woman has been sentenced to 50 years in prison or pay a fine of Ksh.50 million for trafficking 3.9 kilograms of heroin.
- 19 Mar 2025 - Mortuary staff defend funeral home in battle over lost heart
- 19 Mar 2025 - Shock as 150 Shabaab militants raid village, give jihadist lessons
- 19 Mar 2025 - Health workers in strike threat as SHA warns of fake payment list
- 19 Mar 2025 - Medics condemn broken health system after doctor's tragic death
- 19 Mar 2025 - Mystery deepens as search for Brian Odhiambo stalls
- 19 Mar 2025 - Kuscco to sell off loan book in bid to recover Sh8.8b amid fraud
- 19 Mar 2025 - In an era where digital platforms are reshaping how communities engage, an Assistant Chief in Kipcherere, Baringo County has taken the initiative to embrace technology in a way that not only entertains but also educates.