Maafisa Nigeria watoa amri ya kutopeperusha bendera ya kigeni
Maafisa wa Nigeria wanasema kupeperusha bendera za kigeni ni “kosa la uhaini” na wametishia kuwafungulia mashtaka wale watakaofanya hivyo baada ya waandamanaji kujitokeza mitaani nchini humo kueleza kero lao dhidi ya uongozi mbovu na kuongezeka kwa ufisadi huku wakipeperusha bendera ya Russia.
Maelfu ya watu wamejitokeza mitaani huko Kano, mji mkuu Abuja, na miji mingine mikubwa wakati wa maandamano kulalamikia hali ngumu ya kiuchumi na uhalifu.
Shirika la Amnesty International limesema watu wasiopungua 13 wameuwawa katika mapambano na polisi tangu kuanza kwa maandamano, ambayo yamepewa jina la “#10DaysOfRage.” Polisi wameeleza idadi ya vifo imefikia 7, wakisema baadhi ya vifo vilikuwa vimesababishwa na ajali mbalimbali na vilipuzi. - (VOA, Reuters)
#nigeria #russia #tinubu #voa
22 Apr 2025
- The KeNHA boss noted the new regulations were meant to support the Authority to deliver on its mandate.
22 Apr 2025
- Hanifa is among those who have landed roles at NMG
22 Apr 2025
- The amendment has been the subject of controversy since last year.
22 Apr 2025
- Residents of Mwea constituency in Kirinyaga county have raised concerns over the rise of donkey theft in the region.
22 Apr 2025
- Nominated Senator Gloria Orwoba has criticised the newly sworn-in Gender Cabinet Secretary (CS) Hanna Cheptumo over her suitability for the role.
22 Apr 2025
- Cardinals gathered Tuesday at the Vatican to begin scheduling Pope Francis’ funeral and burial, planning the conclave to elect his successor and making other decisions about running the Catholic Church as world leaders and ordinary faithful grieved the…
22 Apr 2025
- The Vatican published Tuesday a photo and video of Pope Francis in his open coffin, dressed in a red robe with the papal mitre on his head and a rosary in his hand.
22 Apr 2025
- Two people have been shot dead while two other sustain gunshot injuries at Loberer, Baringo County on Monday.
22 Apr 2025
- The KeNHA boss noted the new regulations were meant to support the Authority to deliver on its mandate.
22 Apr 2025
- Hanifa is among those who have landed roles at NMG
22 Apr 2025
- The amendment has been the subject of controversy since last year.
22 Apr 2025
- Women's Rights Advisor's ambitious three-year program shows little activity since December launch.
22 Apr 2025
- Faced with skyrocketing electricity bills, counties such as Kiambu are ditching the national grid for solar power.