- 6,692 views
Kikosi cha pamoja kinachojumuisha maafisa kutoka idara ya polisi kimepiga hatua kubwa katika kuwadhibiti waasi wa Oromo Liberation Army (OLA), ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakiwahangaisha wakazi wa Marsabit na Isiolo. Kikosi hicho, kilianza kazi Januari mwaka huu chini ya operesheni ondoa jangili. Tangu kuzinduliwa kwa operesheni hiyo, maficho ya waasi wa OLA katika kaunti hizo mbili yamevurugwa, hatua ambayo imelemaza pakubwa shughuli za kundi hilo. Aidha, wanachama kadhaa, wakiwemo makamanda wa ngazi za juu, wamekamatwa kwenye msako unaoendelea. Ben Kirui amerejea kutoka marsabit na isiolo na kutuandalia taarifa ifuatayo.
Maafisa wa polisi wafanikiwa kuwadhibiti waasi wa Oromo Liberation Army mwa Kenya
- - Duniani Leo ››
- 23 Feb 2025 - Since taking office last month, President Donald Trump has upended US foreign policy, making diplomatic overtures towards the Kremlin while demanding Ukraine give up its rare minerals to compensate for the wartime aid it received under Joe Biden.
- 23 Feb 2025 - Several thousand supporters of Bulgaria's ultra-nationalist Revival party scuffled with police on Saturday while trying to storm the building of a European Union mission during a protest against the country's plans to adopt the euro next year.
- 23 Feb 2025 - Flash floods across Botswana have killed seven people including three children and uprooted thousands after days of heavy rains, President Duma Boko said on Saturday.
- 23 Feb 2025 - Why tourism is Kenya's best bet to accelerate economic growth
- 23 Feb 2025 - Developer claims Maisha Namba is his, seeks Sh391b compensation
- 23 Feb 2025 - The church must be accountable to transform our Kenyan society
- 23 Feb 2025 - Troubled Uchumi's creditors to know fate of their billions
- 23 Feb 2025 - Mr Yes man! Why Dr Ruto has the perfect deputy in Kithure Kindiki
- 23 Feb 2025 - Students left in limbo as ruling stalls placement in universities
- 23 Feb 2025 - Pariah state? Diplomatic missteps and their effects