Maandamano kulaani vita yaongezeka katika Vyuo Vikuu Marekani
Maandamano ya wanaounga mkono Wapalestina yameongezeka katika vyuo vikuu vya juu vya Marekani siku ya Jumatatu.
Baada ya usiku kuingia, polisi wa kutuliza ghasia wakiwakabili waandamanaji katika Chuo Kikuu cha New York na kuwakamata watu wengi.
Mamia ya waandamanaji walikaidi amri ya chuo kikuu kuondoka kwenye uwanja ambako walikusanyika.
Waandamanaji walikuwa wanapiga kelele wakiitaka mamlaka ya Chuo Kikuu cha New York, NYU kuachana na juhudi zinazohusishwa na vita vya Israel huko Gaza. Katika Chuo Kikuu cha Columbia cha New York, polisi waliwazuia waandamanaji kadhaa.
Maandamano yanayoendelea katika vyuo vikuu ni taswira ya kuongezeka kwa mzozo kati ya Israel na Palestina, ulioanza tarehe 7 Oktoba kwa shambulio baya la wanamgambo wa Kiislamu wa Hamas nchini Israel, na jibu kali la Israel katika Gaza inayodhibitiwa na Hamas.
#Waandamanaji #chuokikuu #columbiauniversity #newyork #marekani #wanafunzi #polisi #palestina #wapalestina #hamas #israel #voa #voaswahili
10 May 2024
- Kenya, Uganda, and Rwanda are among the East African states that voted in favour of the State of Palestine.
10 May 2024
- The agreement followed Mudavadi's visit to DRC.
10 May 2024
- The PBO Act was passed by the National Assembly in 2013 but has been on the shelves since.
11 May 2024
- Chad has ordered the immediate deployment of troops to maintain peace, especially in the capital, N'djamena, after provisional results of the May 6 presidential elections.
11 May 2024
- KPA land worth Sh2.9 billion has been grabbed, committee reveals
11 May 2024
- Desk set up to replace IDs lost during floods
11 May 2024
- Kenyans must question more than clap when leaders issue directives
11 May 2024
- Parents directed to enforce school attendance and work closely with teachers to ensure safety of students.
11 May 2024
- Rugby Super Series: Cheetahs seek to outsprint Lions
11 May 2024
- With opening of Bunge Tower, Ruto had hoped the parliamentary budget would drop by Sh400m.
11 May 2024
- I only have Sh5,000 for you, Governor Wamatangí tells victims seeking Sh50,000 to Sh70,000 to jumpstart their lives
11 May 2024
- Assets Recovery Agency told the court that Otieno has no known source of income.
11 May 2024
- Kenya's candidate signals intensified shuttle diplomacy in search for votes.