- 81 views
Wanafunzi wa chuo kikuu cha multimedia wakiongozwa na viongozi wao wametoa ilani ya saa 48 kwa idara ya polisi kuchukulia hatua kali maafisa wa polisi walionaswa kwa video wakimhangaisha mmoja wao hapo jana. Aidha wametaka haki itendeke kwani trevor mathenge ameumizwa vibaya na maafisa wa polisi na sasa anapokea matibabu katika hospitali ilioko rongai. na kama anavyoarifu Antohny Kwemoi tukio hilo la kutamausha lilitokea wakati wanafunzi wa chuo kikuu cha multimedia wakiandamana wakitaka maslahi yao yaboreshwe.
Maandamano ya wanafunzi wa Multimedia
- 19 Sep 2024 - President William Ruto has urged newly installed Inspector General Douglas Kanja to protect the independence of the National Police Service (NPS) from any interference by external forces.
- 19 Sep 2024 - Collins Moi, the grandson of late former President Daniel Moi, was arraigned in court on Thursday following his arrest in Ongata Rongai, Kajiado County, on Wednesday.
- 19 Sep 2024 - Nyandarua MCAs have thrown their weight in support for DP Rigathi Gachagua, dismissing attempts to position Interior Cabinet Secretary Prof. Kithure Kindiki as the new leader of the Mt. Kenya region.
- 19 Sep 2024 - Kenya’s decision was curious as peers in the region, including Uganda, Tanzania, Djibouti, Burundi and Mauritius voted for the resolution.
- 19 Sep 2024 - Cheruiyot maintained that the allegations were malicious and meant to taint his name.
- 19 Sep 2024 - The accused, however, denied the charges
- 19 Sep 2024 - The judge directed the case to be heard on October 8.
- 19 Sep 2024 - He said all county hospitals are ready to assist with the registration process.
- 19 Sep 2024 - Ruto said all should abide by the set rules without entitlement.
- 19 Sep 2024 - County received equipment valued at Sh3.1 million to reduce open defecation cases