Maandamano yafanyika siku ya mwisho ya mkutano wa COP29
Makundi ya vijana yamelalamika pembeni ya mkutano wa Umoja wa Mataifa wa hali ya hewa uliofikia siku yake ya mwisho huko Baku, Aberzaijan, Ijumaa wakitoa wito wa kuheshimiwa haki za binadamu kote duniani.
Geogina Kerubo wa kundi la Global Young Green anasema ni jukumu lao kama wanaharakati kuwaelimisha watu juu ya masuala ambayo ni muhimu yanayowahusu.
Maandamano yamefanyika wakati wajumbe wamekuwa wakijadili pendekezo kutoka nchi zilizoendelea kuongeza kiwango cha kugharimia athari za mabadiliko ya hali ya hewa kufikia dola bilioni 250 kutoka bilioni 100.
Hata hivyo mataifa yanayoendelea wanasema kiwango hicho hakitoshi wakati wanahitaji hivi sasa dola trilioni 1.3 kugharimia athari hizo kufikia 2035. - AP
#cop29 #azerbaijan #fossilfuels #voaafrica #lobbyists #maandamano #voa #voaswahili
19 Apr 2025
- Amin's comments followed days after the former DP raised alarm over alleged assassination attempts.
19 Apr 2025
- Obiri's date with history is on Monday, April 21.
19 Apr 2025
- The floods have since resulted in the displacement of more than 200 families.
19 Apr 2025
- Leaders in the Kenya Kwanza government have rallied the Maasai community in Kajiado to reject former Deputy President Rigathi Gachagua’s opposition politics, accusing him of peddling untruths.
19 Apr 2025
- Four people have been confirmed dead following a tragic road accident in the early hours of Saturday morning in Ruiru, Kiambu County.
19 Apr 2025
- U.S. strikes on Yemen's Ras Isa fuel terminal on the Red Sea coast have killed at least 74 people in the deadliest attack since the U.S. started its bombing campaign against the Houthis last year, according to the Houthi-run health ministry.
19 Apr 2025
- Police are looking for another suspect escaped unhurt.
19 Apr 2025
- Tanzanian opposition leaders are now demanding access to detained party chairman Tundu Lissu, saying it is his constitutional right.
19 Apr 2025
- Machakos Governor Wavinya Ndeti on Friday called on the Christian community to reflect on the meaning of Easter and to pray for the country during this sacred period.
19 Apr 2025
- On the hands
19 Apr 2025
- Religious leaders are calling for urgent and coordinated action among police, political leaders, and parents to curb the resurgence of violent juvenile gangs in Likoni Sub-County. The appeals by the religious leaders were made during the marking of Good…
19 Apr 2025
- What Kibaki taught us and why the 47 counties need his wisdom
19 Apr 2025
- At least 143 dead in DR Congo boat fire