- 271 views
Mahakama kuu imeamua kuwa hazina ya maendeleo ya maeneo bunge imekiuka katiba. Majaji wawili Kanyi Kimondo na Roselyne Aburili kati ya watatu waliamua kuwa hazina hiyo inakiuka taratibu za usimamizi na uwajibikaji wa fedha. Jaji Mugure Thande pekee ndiye alikuwa na maoni kinzani. Katika hukumu hiyo mahakama pia imesema kwamba baadhi ya majukumu ya wabunge chini ya hazina hiyo ni ya serikali za kaunti.
Mahakama kuu yaamua kuwa hazina ya NG-CDF imekiuka katiba
- 20 Sep 2024 - Mandera County has launched an ambitious afforestation program aimed at transforming its harsh semi-arid environment while providing stable income opportunities for local residents.
- 20 Sep 2024 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has raided the residences of two senior officials of Kenya Rural Roads Authority (KeRRA) over embezzlement and irregular acquisition of multi-million properties.
- 20 Sep 2024 - President William Ruto departs tonight for the United States to participate in the 79th Session of the United Nations General Assembly (UNGA) in New York.
- 20 Sep 2024 - Nairobi Governor Johnson Sakaja has clapped back at Deputy President Rigathi Gachagua, warning him to keep off the city’s state of affairs.
- 20 Sep 2024 - The Global Center on Adaptation (GCA) has inaugurated 12 Black Soldier Fly (BSF) units in Mukuru, one of Nairobi’s largest informal settlements.
- 20 Sep 2024 - Business mogul S.K. Macharia has taken legal action to reclaim Directline Assurance Company, claiming it was unlawfully seized through a forged CR12 form.
- 20 Sep 2024 - Administration Police Deputy Inspector General Gilbert Masengeli can now breathe a sigh of relief after the High Court set aside both his conviction and subsequent 6-month jail sentence for contempt in a case related to the disappearance of three…
- 20 Sep 2024 - “In order to create this podcast, I had to get very comfortable with my voice,” Lupita admitted.
- 20 Sep 2024 - He explains his absence at key events.
- 20 Sep 2024 - The service will be held at Mweiga Stadium starting 8.30 am