Mahojiano maalum na Naibu Katibu Mkuu wa UN (Sehemu ya 1)
Naibu katibu mkuu wa Umoja wa Matifa UN Jean- Pierre La Croix ametangaza kuwa UN imepewa mamlaka yote kusaidia kifedha kikosi cha SADC kwa ajili ya kudumisha amani na usalama mashariki mwa DRC. Alifahamisha hayo wakati wa ziara yake huko Kivu Kaskazini.
Akizungumuza na waandishi wa habari dakika chache baada ya kukutana na kamati ya usalama wa Mkoa wa Kivu Kaskazini inayosimamiwa na Gavana wa Kivu Kaskazini, Meja Jenerali Peter Cirimwami siku ya Alhamisi, Jean – Pierre la Croix amesema kwa sasa ni muhimu kwa DRC na MONUSCO kushirikiana, kwani Umoja wa Mataifa umepewa mamlaka ya kuwasaidia wanajeshi wa SADC kifedha na huduma nyingine kwa ajili ya kurejesha amani na usalama mashariki mwa Congo.
“Kwa sasa tumepewa mamlaka ya kusaidia SAMIDRC kupitia MONUSCO kupitia njia za kidiplomasia na kisiasa na kuunga mkono juhudi za SADC na kikanda. Tunaunga mkono hata hivyo usitishwaji wa mapigano ambao umepunguza ghasia licha ya kuwepo matatizo madogo , kuna mambo mengi ya kufanya na hatuwezi kusema kwamba pande husika zimeheshimu kikamilifu sitisho la mapigano,” La Croix alisema.
La Croix alitembelea mkoa wa Ituri ambako kumekuwa kukiripotiwa mauaji kila siku na kulazimisha wakazi kuhama vijiji vyao.
Wakimbizi wa ndani katika mkoa huo wanakabiliwa na ukosefu wa misaada
Ripoti/ Picha na Mahojiano na Austere Malivika
21 Sep 2024
- The foreigner expressed his frustration why the promo on an African show, in his opinion, has to be shoved down the throats of an international audince glued to CNN.
21 Sep 2024
- The Majority Leader made the sentiments while addressing Uasin Gishu residents.
21 Sep 2024
- With the tide against him, the MP left the event during which the excited crowd kept cheering for Kebaso.
22 Sep 2024
- Gaza's civil defence agency reported 21 killed in an Israeli strike on Saturday, the latest attack on a school sheltering displaced Palestinians where the Israeli military said it targeted militants.
22 Sep 2024
- Some 53 people have been killed and 51 others are missing in Mexico's western Sinaloa state since rival factions of the Sinaloa Cartel began clashing on Sept 9, local authorities said on Friday, with gruesome violence showing no signs of abating.
21 Sep 2024
- The son of Uganda's long-serving leader Yoweri Museveni said on Saturday he had abandoned plans to run for presidency at the next election in 2026, urging his supporters to endorse his father instead.
21 Sep 2024
- Two suspects and an accomplice have been arrested at Burburis area, Garissa County, following a string of violent robberies in the area recently.
21 Sep 2024
- Police in Mombasa are holding three suspects believed to have been part of a group of more than 20 individuals who planned and sodomized a 25-year-old blogger.
21 Sep 2024
- National Assembly Majority Leader Kimani Ichung'wah has dismissed Deputy President Rigathi Gachagua's claims of an impeachment plot against him, terming it as a sympathy seeking gimmick.
21 Sep 2024
- Kenya Premier champions Gor Mahia were knocked out of the CAF Champions League after losing their second leg, second preliminary round match against Al Ahly in Cairo, Egypt. Gor went down 3-0 in the Egyptian capital to lose the match 6-0 on aggregate…
21 Sep 2024
- President Ruto arrives in the Caribbean nation to assess mission sanctioned by the United Nations.
21 Sep 2024
- The Kenya women’s soccer team thumped Switzerland 3-0 in their opening group A match at the ongoing Homeless World Cup in Seoul, South Korea. Seline Odhiambo gave Kenya the lead after 6 minutes before Esther Oloo and Jerrine Nun Adhiambo added two more…
21 Sep 2024
- I can't be impeached without Ruto's approval, says Gachagua