- 41 views
Jamii inahimizwa kuwapa fursa wafungwa waliomaliza vifungo vyao ili waweze kuanza maisha mapya kwa urahisi. Katibu mkuu wa idara ya kurekebisha tabia, dkt. Salome Beacco, ameweka wazi kuwa wafungwa hupitia mchakato wa marekebisho ya tabia, akisisitiza kuwa mtu mwenye makosa anaweza kubadilika kuwa mwema. Magereza 135 nchini yanahudumia wafungwa wapatao 62,000. Katika makala ya “mwanamke na uongozi,” dkt. Salome alielezea pia nafasi yake kama kiongozi katika wizara ya usalama, akiwahimiza wanawake kuchukua nafasi za uongozi katika sekta hiyo.
Mahojiano na Dkt. Salome, katibu mkuu wa idara ya kurekebisha tabia- Mwanamke na uongozi
- 28 Oct 2024 - Court proceedings on the Shakahola massacre held at the Shanzu Law Courts revealed more details on how Pastor Paul Mackenzie indoctrinated his followers into joining his cult-like practices.
- 28 Oct 2024 - The people of conflict-torn Sudan are living a "nightmare" of hunger, disease and massive ethnic violence, particularly in Darfur, the UN secretary-general warned on Monday.
- 28 Oct 2024 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has seized 121 stamps belonging to various companies from a Roads Engineer accused of stealing Ksh.1.6 billion funds from the Bomet County government.
- 28 Oct 2024 - A Nairobi court has issued orders temporarily stopping the execution of a search warrant on Royal Media Services Limited (RMS).
- 28 Oct 2024 - The Busia County Government announced the new charges in a notice dated October 24.
- 28 Oct 2024 - "There will be no teaching, no marking and no invigilation of exams until the money hits our accounts."
- 28 Oct 2024 - Baringo County is one of Kenya’s largest counties, covering 11,075 square kilometres but with a relatively small population compared to other Kenyan counties.
- 28 Oct 2024 - Following the internal investigation into the heist, a number of suspected staffers were also arrested.
- 28 Oct 2024 - Lecturers returns to the streets after talks flop
- 28 Oct 2024 - Misuse of biblical verses in Gachagua impeachment trial