- 154 viewsKulingana na UNAIDS watu milioni 39 duniani kote wanaishi na HIV na zaidi ya milioni 29 wanatumia dawa ya kupunguza makali ya HIV. Hata hivyo watu milioni 9.2 bado hawana uwezo wa kupata matibabu. Mataifa ya Afrika- Kusini mwa Jangwa la Sahara yanachangia asilimia 65 ya maambukizi yote duniani. VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili. Tembelea tovuti yetu voaswahili.com/duniani-leo na Makala Maalum ya Jarida la Wikiendi. Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu. Matangazo yetu yanasambazwa kupitia satellite, cable, FM na MW, na and kupitia mtandao wa vituo vya matangazo vya washirika wetu takriban 3000. Tangu kuanzishwa mwaka 1942, Sauti ya Amerika imeendelea na azma yake ya kutoa habari za kina na kuwaambia wasikilizaji wake ukweli. Tangu kipindi cha Vita Vya Pili vya Dunia, Vita Baridi, Vita dhidi ya ugaidi wa kimataifa, na juhudi za ukombozi duniani kote hivi leo VOA imekuwa mfano katika kutekeleza kanuni za vyombo vya habari huru. Jiunge na VOA Swahili: » Tembelea Tovuti Yetu: https://bit.ly/3PtyNWc »Angalia Video Zaidi za VOASwahili: https://bit.ly/3TNTiiI »Pakua VOA+ katika vifaa vya Apple : https://bit.ly/VOAPlus »Download VOA+ katika vifaa vya Android https://bit.ly/3KykriI »Tembelea Tovuti yetu: https://www.voaswahili.com/ »Upende ukurasa wetu wa Facebook: https://www.facebook.com/voaswahili »Tufuatilie katika Instagram: https://www.instagram.com/voaswahili »Tufuatilie katika X: https://twitter.com/voaswahili »Tufuatilie katika YouTube: https://www.youtube.com/@VOASwahili
MAISHA NA AFYA: Mapambano dhidi ya HIV na UKIMWI duniani
- 19 Jul 2025 - Germany said Friday it had deported 81 Afghan men convicted of crimes to their Taliban-controlled homeland, as Chancellor Friedrich Merz's government looks to signal a hard line on immigration.
- 19 Jul 2025 - Police officers may use force and firearms only to the extent required for the performance of their duty, and the force must never be used as a form of extrajudicial punishment. According to a policy directive issued to the Inspector General of Police…
- 19 Jul 2025 - Dagoretti North MP Beatrice Elachi has praised ODM leader Raila Odinga for his recent calls for national dialogue, urging young people to actively participate in conversations about Kenya’s future. Speaking in Kakamega County on Friday, July 18, 2025,…
- 19 Jul 2025 - The weight of history hangs heavy over Kenya’s perpetual governance crises. Like an architectural blueprint repeatedly altered by successive owners until the structure becomes unstable, our constitutional journey since independence reveals a pattern of…
- 19 Jul 2025 - A 15-month-old baby has died in Belgium after being left inside a car on a warm summer day, authorities said on Friday.
- 19 Jul 2025 - Political commentator Morara Kebaso has launched a scathing critique of the country’s financial system, describing it as deliberately structured to entrap citizens in a cycle of debt and poverty. In a strongly worded statement shared via his official X…
- 19 Jul 2025 - In 2022, the Central Bank of Kenya (CBK) put in place regulations to govern digital borrowing and lending, in efforts to provide better guidelines and experiences for consumers.
- 19 Jul 2025 - A Principal Secretary has called for reforms in the prisons’ system. Correctional Services PS Salome Muhia made the remarks during the marking of Nelson Mandela Day and presentation of the System, Policies, Procedures and Practices Review Report at…
- 19 Jul 2025 - The newly appointed commissioners of Kenya’s electoral body have been thrust into a storm of political discontent, barely a week into office, as they grapple with an avalanche of petitions demanding the recall of dozens of MPs. Sources within the…
- 19 Jul 2025 - There is a likelihood of a child born in highly-polluted areas in Nairobi developing chronic respiratory diseases such as asthma and pneumonia, and worse still, lung cancer, health experts have revealed. Several studies presented at the just-concluded…