Mashabiki wa Taifa Stars wakihamasisha timu yao kufuzu kuingia AFCON 2025
Mashabiki wa Tanzania -Taifa Stars wakishangilia timu yao katika mchezo wa kufuzu kuingia kwenye michuano ya Afcon 2025 kati ya timu ya Taifa Stars (Tanznaia) na DRC- Lepoard kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa mjini Dar es Salaam ambapo DRC waliibuka na ushindi wa bao 2-0.
Taifa Stars imepoteza mchezo wa marejeano wa kufuzu fainali za AFCON 2025 dhidi ya DR Congo kwa mabao 2-0 mchezo uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Mabao ya Congo yamefungwa na mshambuliaji Meshack Elia katika dakika za 88 na 90+, nyota huyo akiitumikia Young Boys ya Uswisi katika ngazi ya klabu.
Hadi sasa kwenye msimamo wa kundi H, linaongozwa na DR Congo wenye pointi 12 ambao tayari wamefuzu kwenye fainali hizo, Tanzania (Taifa Stars) nafasi ya pili ikiwa na pointi 4, Guinea nafasi ya tatu pointi 3, Ethiopia ikishika mkia ikiwa na pointi 1.
#tanzania #afcon2025 #drc #naibuwaziri #hamismwinjuma #daressalaam #benjaminmkapa #uwanja
22 Oct 2024
- The fire erupted in one house before spreading to other homes.
22 Oct 2024
- This is an updated breed of car robberies where burglars are no longer using guns as previously witnessed.
22 Oct 2024
- 57 other individuals sustained serious injuries from the attack on Monday evening.
22 Oct 2024
- Environment Cabinet Secretary Aden Duale has directed the National Environment Management Authority (NEMA) to begin a crackdown on noise polluters.
22 Oct 2024
- The repatriation of four Turkish nationals back to their home country has sparked heated debate with various non-governmental bodies slamming the seemingly undiplomatic act.
22 Oct 2024
- In August 1987, the High Court acquitted him of stealing cash, but he had already served a three-year jail term.
22 Oct 2024
- More than 100 female professional footballers from 24 countries have called on the sport's governing body FIFA to end its sponsorship deal with Saudi oil giant Aramco, citing human rights issues and treatment of the LGBTQ+ community as well as…
22 Oct 2024
- Ukraine's population has declined by around eight million since Russia invaded in February 2022, sparking an exodus and sending birth rates plunging, the United Nations said Tuesday. The UN Population Fund said there had not been a census, but that…
22 Oct 2024
- The Ministry of Agriculture has banned macadamia harvesting with effect from November 2, 2024 until March 1, 2025, to curb the export of immature nuts. Agriculture Cabinet Secretary (CS) Andrew Karanja said the decision was after consultations with…
22 Oct 2024
- Turkish President Recep Tayyip Erdogan on Tuesday condemned late preacher Fethullah Gulen and his followers as traitors and vowed to pursue them globally, following the influential cleric's death in exile. "These traitors managed to escape Turkish…
22 Oct 2024
- The fire erupted in one house before spreading to other homes.
22 Oct 2024
- Egypt recently deepened its involvement in the war-weary Horn of Africa by arming Somalia and deploying its troops in the embattled country.
22 Oct 2024
- This is an updated breed of car robberies where burglars are no longer using guns as previously witnessed.