Mashabiki wa Taifa Stars wakihamasisha timu yao kufuzu kuingia AFCON 2025
Mashabiki wa Tanzania -Taifa Stars wakishangilia timu yao katika mchezo wa kufuzu kuingia kwenye michuano ya Afcon 2025 kati ya timu ya Taifa Stars (Tanznaia) na DRC- Lepoard kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa mjini Dar es Salaam ambapo DRC waliibuka na ushindi wa bao 2-0.
Taifa Stars imepoteza mchezo wa marejeano wa kufuzu fainali za AFCON 2025 dhidi ya DR Congo kwa mabao 2-0 mchezo uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Mabao ya Congo yamefungwa na mshambuliaji Meshack Elia katika dakika za 88 na 90+, nyota huyo akiitumikia Young Boys ya Uswisi katika ngazi ya klabu.
Hadi sasa kwenye msimamo wa kundi H, linaongozwa na DR Congo wenye pointi 12 ambao tayari wamefuzu kwenye fainali hizo, Tanzania (Taifa Stars) nafasi ya pili ikiwa na pointi 4, Guinea nafasi ya tatu pointi 3, Ethiopia ikishika mkia ikiwa na pointi 1.
#tanzania #afcon2025 #drc #naibuwaziri #hamismwinjuma #daressalaam #benjaminmkapa #uwanja
21 Apr 2025
- The 88-year-old pontiff died at his home at his residence in the Vatican's Casa Santa Marta.
21 Apr 2025
- The two have been warming up to each other with speculations on the future building up.
21 Apr 2025
- The Catholic faithful are set to get a new Pope after the death of Pope Francis on Easter Monday.
21 Apr 2025
- The death of Pope Francis on Monday sets in motion centuries-old traditions which will culminate in the election by cardinals of a new pontiff -- but with a few changes.
21 Apr 2025
- Here are some key dates in the life of Pope Francis, the first Jesuit and Latin American pope, who died on Monday aged 88:
21 Apr 2025
- Pope Francis, the first Latin American leader of the Roman Catholic Church, has died, the Vatican said in a video statement on Monday.
21 Apr 2025
- The 88-year-old pontiff died at his home at his residence in the Vatican's Casa Santa Marta.
21 Apr 2025
- Embakasi East Member of Parliament (MP) Babu Owino has suggested a potential joint presidential bid in 2027 with his Kiharu counterpart Ndindi Nyoro.
21 Apr 2025
- Key quotes from Pope Francis’s papacy: – Humility – “Pray for me” – pronounced at the end of every speech, because, he once explained, “I am a sinner too.” His first tweet and first post on Instagram were versions of the mantra. – The poor – “How I…
21 Apr 2025
- The two have been warming up to each other with speculations on the future building up.
21 Apr 2025
- The Catholic faithful are set to get a new Pope after the death of Pope Francis on Easter Monday.
21 Apr 2025
- It is Easter. This is the period that Christianity worldwide commemorates the Passion of the Lord Jesus Christ, his crucifixion, and his triumphant rising from the dead. Jesus Christ was tried by Pontius Pilate, who was the prefect (governor) of Judea…
21 Apr 2025
- When a pope dies, the Roman Catholic Church begins a series of elaborate rituals.