- 49 views
Shirika lisilo la kiserikali linalotoa hamasisho dhidi ya ulanguzi wa binadamu lenye makao yake jijini Nairobi kwa ushirikiano na shirika la Polish Aid, limezindua mradi wa kuwapa waathiriwa ujuzi muhimu wa kibiashara na usaidizi wa kiuchumi Hadi kufikia sasa, waathiriwa 60 wamepokea msaada kutoka kwa mashirika hayo mawili kupitia ubalozi kwa Jamhuri ya Poland humu nchini. Msaada huo ni sehemu ya mpango makhsusi ulioanzishwa mnamo mwaka wa 2010 ambao unanuiwa kutambua na kusaidia zaidi ya waathiriwa 1000 wa ulanguzi wa binadamu. Wanaonufaika wanatumia misaada hiyo pamoja na ujuzi kufanikisha maisha yao na kuchangia ukuaji wa kiuchumi pamoja na kuzisaidia jamii zao.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mashirika ya HAART na Polisi Aid yawasaidia waathiriwa ulanguzi wa binadamu
- 24 Oct 2024 - The Judiciary has announced a system intermittent outage that has affected critical operations such as efiling, case tracking and causelist systems.
- 24 Oct 2024 - President William Ruto on Thursday said that Kenya will immensely benefit from the power transmission deal between Adani Group Holdings and Kenya.
- 24 Oct 2024 - The Anti-doping Agency of Kenya (ADAK) is facing a financial crisis due to huge budget cuts from the National Treasury.
- 24 Oct 2024 - Kenya Revenue Authority (KRA) Customs Enforcement officers at the Lwakhakha Border Station have intercepted a truck carrying 7,500 litres of suspected uncustomed ethanol, as part of the ongoing crackdown on illicit trade.
- 24 Oct 2024 - President William Ruto on Thursday met Jamie Dimon, chairman and CEO of JPMorgan Chase, the largest bank in the United States which recently opened a Kenyan office as part of its Africa expansion.
- 24 Oct 2024 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has clarified media reports that it misled the public in the case where four senior Taita Taveta County officials are accused of theft of Ksh.7 million public funds under the pretext of commemorating the…
- 24 Oct 2024 - The announcement comes after a recent uproar over delays in processing the critical documents.
- 24 Oct 2024 - The meeting was a continuation of the bilateral agreement inked in 2023.
- 24 Oct 2024 - Public Service and Human Capital Development, Cabinet Secretary Justin Muturi has called on Kenyans to collect their identification documents as thousands remain uncollected across the nation. During his assessment of the Thika Huduma Centre, CS Muturi…
- 24 Oct 2024 - The relationship between the multi-agency security team and locals has been frosty.