- 10 views
Shirika la utangazaji humu nchini-KBC na lile la habari la China, Xinhua yametia saini maafikiano yatakayofanikisha kutiwa saini kwa mkataba wa maelewano kuhusu ubia katika nyanja mbalimbali. Mkurugenzi mkuu wa KBC Agnes Kalekye amesema shirika hili linanuia kuimarisha sekta tatu muhimu ikiwemo kuboreshwa kwa vifaa vya kupeperusha matangazo, mafunzo ya kiteknolojia na ustawishaji wa mfumo wake wa kidijitali kupitia usaidizi wa shirika la habari la Xinhua. Kalekye aliyasema hayo alipopokea ujumbe kutoka shirika la Xinhua ukiongozwa na makamu wa rais wa shirika hilo duniani Yuan Bingzhong ambao walizuru jumba la utangazaji la KBC.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mashirika ya KBC na Xinhua yadhamiria kushirikiana
- 13 Feb 2025 - Former Kiambu County Governor Ferdinand Waititu has been sentenced to 10 years in prison or pay a fine of Ksh.52 million.
- 13 Feb 2025 - Four people have been arrested in connection with the multi-billion-shilling irregularity scandal at the Kenya Union of Savings and Credit Co-operatives (KUSCCO).
- 13 Feb 2025 - Kenyan civil societies have announced that the 90-day suspension of the United States Agency for International Development (USAID) funding has severely affected the healthcare system.
- 13 Feb 2025 - Nearly half of Kenyan university students have used at least one drug or substance abuse in their lifetime, a new report by NACADA shows.
- 13 Feb 2025 - The Court of Appeal in Nairobi has directed former Kipipiri Member of Parliament Amos Kimunya to defend himself in a case involving allegations of irregular allocation of public land to a private company.
- 13 Feb 2025 - Jackline Pauline Atieno Omolo, George Ochola Owino, Mercy Njeru, and George Magutu Mwangi face multiple charges, including conspiracy to defraud, contrary to Section 317 of the Penal Code.
- 13 Feb 2025 - The sale comes amid a tough economic climate.
- 13 Feb 2025 - The Kenya Union of Clinical Officers (KUCO) has issued a seven-day strike notice set to begin from midnight on February 18, 2025.
- 13 Feb 2025 - He's also barred from holding public office.
- 13 Feb 2025 - This is a major boost to the farmers who have been asking the government to intervene.