- 21 views
Vita dhidi ya ufisadi humu nchini vimefikia kipindi muhimu, huku mashirika ya serikali yakiapa kuimarisha juhudi za kulinda mustakabali wa taifa. Na huku taifa hili likipambana na mgogoro wa madeni, maafisa wanatoa tahadhari, wakionya kwamba iwapo ufisadi utaendelea bila kudhibitiwa, uthabiti wa Kenya uko hatarini. Kwenye kitovu cha vita hivi ni wito wa umoja katika sekta zote, kuanzia idara ya mahakama hadi tume ya maadili na kupambana na ufisadi, wanapokabiliana na uovu ulioenea, na ambao unadhoofisha maendeleo ya taifa. Ben Chumba anaripoti.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mashirika ya serikali yaapa kuongeza juhudi za kupambana na ufisadi
- - Duniani Leo ››
- 26 Mar 2025 - President William Ruto's speculated visit to the Mt. Kenya region is a seemingly slippery climb amid boiling political clamor.
- 26 Mar 2025 - A 23-year-old Kenya Defence Forces (KDF) officer was at pains in an Eldoret court as he testified against his own father accused of murdering his mother.
- 26 Mar 2025 - Burundi's President Evariste Ndayishimiye said he had seen "credible intelligence" that Rwanda has a plan to attack his country, whose forces have battled Rwandan-backed rebels in neighbouring Democratic Republic of Congo.
- 26 Mar 2025 - A Kenyan police officer who is part of the international security force in Haiti has gone missing. The Multinational Security Support (MSS) Mission to Haiti said in a statement that the officer went missing following an ambush by gang members in Pont-…
- 26 Mar 2025 - Spain's leftist government unveiled a draft bill Tuesday that would criminalise the use of artificial intelligence to generate sexually explicit video images of a person's face or body without their consent.
- 26 Mar 2025 - The diplomatic efforts to save the Kenyan were coordinated at State House Nairobi, hinting at possible involvement by President William Ruto.
- 26 Mar 2025 - Key events and activities happening today.
- 26 Mar 2025 - Techies are pursuing their dream careers crafting societal solutions at the company.
- - IEBC chairperson vetting continues, with Lilian Wanjiku now being interviewed
- 26 Mar 2025 - Why President Ruto is blowing hot and cold over Mt Kenya tour