Shirika la misaada ya kibinadamu la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limeonya kwamba hali katika jimbo la Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo inazidi kuwa mbaya. MSF inasema watu huko wanakabiliwa na mashambulizi ya vurugu, kulazimishwa kukimbia nyumba zao, na kuhangaika kupata huduma za matibabu. Katika ripoti hiyo mpya, MSF inasema maisha yanazidi kuwa hatari zaidi kwa jamii zilizoko kwenye mzozo huko mashariki mwa DRC, ambapo Umoja wa Mataifa unasema mapigano hayo yamewafanya zaidi ya watu laki moja kukosa makazi. Tangu mwanzo wa mwaka huu, zaidi ya watu 200 wameuawa katika mashambulizi, na wengine wengi kujeruhiwa. MSF inasema madaktari wao wamewatibu manusura wa mashambulizi ya mapanga na risasi, wakiwemo watoto na wanawake wajawazito.
26 Mar 2025
- The diplomatic efforts to save the Kenyan were coordinated at State House Nairobi, hinting at possible involvement by President William Ruto.
26 Mar 2025
- Muturi has been a critic of Ruto’s administration from within, accusing the government of failing to address the prevalent abduction cases.
26 Mar 2025
- A 23-year-old Kenya Defence Forces (KDF) officer was at pains in an Eldoret court as he testified against his own father accused of murdering his mother.
26 Mar 2025
- Burundi's President Evariste Ndayishimiye said he had seen "credible intelligence" that Rwanda has a plan to attack his country, whose forces have battled Rwandan-backed rebels in neighbouring Democratic Republic of Congo.
26 Mar 2025
- A Kenyan police officer who is part of the international security force in Haiti has gone missing. The Multinational Security Support (MSS) Mission to Haiti said in a statement that the officer went missing following an ambush by gang members in Pont-…
26 Mar 2025
- Spain's leftist government unveiled a draft bill Tuesday that would criminalise the use of artificial intelligence to generate sexually explicit video images of a person's face or body without their consent.
26 Mar 2025
- The diplomatic efforts to save the Kenyan were coordinated at State House Nairobi, hinting at possible involvement by President William Ruto.