- 416 viewsQaid Farhan Alkadi, mateka wa Israeli ambaye hivi karibuni aliokolewa alipokuwa akishikiliwa na Hamas huko Gaza, alipokelewa kwa furaha katika Kituo cha Afya cha Soroka mjini Beersheba (Agosti 28). Kanda ya video iliyochukuliwa kutoka kituo hicho cha afya inaonyesha Alkadi akiwa amezungukwa na wanafamilia na maafisa wa jeshi, akitembea kutoka hospitalini. Tafrija hiyo iliendelea karibu na Rahat, Israel, ambako Alkadi alionekana akiwa amekaa ndani ya hema katika kijiji ambako yako makazi yake Ubeduini. When asked about his feelings post-rescue, Alkadi, speaking in Hebrew, Alipoulizwa ulizwa kuhusu hisia zake baada ya kuokolewa, Alkadi, akizungumza kwa lugha ya kiebrania alisema ni faraja kubwa na kutaka hatua zichukuliwe kuwarejesha wale ambao bado wanashikiliwa. #gaza #ukandawagaza #mateka #israeli #jeshi #voa #voaswahili #qaidfarhanalkadi #hamas #palestina #wapalestina
Mateka wa Israeli aliyeokolewa alakiwa na ndugu, marafiki akitoka hospitali
- 22 Apr 2025 - Pope Francis died of a stroke, causing a coma and "irreversible" heart failure, according to his death certificate released by the Vatican on Monday.
- 22 Apr 2025 - Nairobi City Thunder (NCT) basketball team has received a major boost ahead of the upcoming Basketball Africa League (BAL) championship, after being assigned a Senegalese NBA G-League player to reinforce the squad. The team is also eyeing continental…
- 22 Apr 2025 - The papacy journey started with St. Peter, he who Christ christened as the rock of the Church.
- 22 Apr 2025 - Tragedy struck on Monday at Loberer area along the Marigat-Chemolingot route in Baringo County, where two people were shot dead and two others injured. The victims were ambushed by suspected bandits while travelling to Nginyang market in a police convoy…
- 22 Apr 2025 - Youths dare dream as Nyanza's Junior Golf tourney highlights growth
- 22 Apr 2025 - The inconvenient truth about devolution, the environment
- 22 Apr 2025 - Mwangangi named SHA boss as Ingasira takes over in Finance
- 22 Apr 2025 - Tusker surge ahead of Police and Gor Mahia as title race heats up
- 22 Apr 2025 - Goodbye Pope: Pontiff hailed as moral icon and voice of the voiceless
- 22 Apr 2025 - Ruto takes Kenya's wishlist to Beijing as trade winds shift