- 1 views
Zaidi ya watu 200 walishiriki katika makala ya kwanza ya matembezi ya uhisani ALMAARUFU March in March katika mtaa wa Karen kaunti ya Nairobi. Washiriki hao wengi wao wanawake walitembea umbali wa kilomota-5.5 na kilomita-4.7 kutoka barabara ya Kombe hadi bustani ya Karen Waterfront. Mtembezi hayo yaliandaliwa na wakfu wa Intrepid kwa lengo la kukusanya fedha za kufadhili mipango ya kukabiliana na uwindaji haramu wa wanyamapori katika hifadhi ya Mara, kuwawezesha wanawake wa jamii ya Wa-masaai kubuni nafasi za ajira, kutoa baiskeli kwa watoto waoenda shuleni katika maeneo ya mashambani na wahudumu wa afya humu Kenya. Matembezi hayo yataandaliwa kila mwaka huku kukiwa na uwezekano kushirikisha riadha ili kuwavutia washiriki zaidi ambao wangependa kushiriki katika mbio.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Matembezi ya uhisani : Miradi mbalimbali ya kijamii kufadhiliwa
- - Nyanza Women's golf ››
- 10 Mar 2025 - A legal battle is brewing between two brothers over a disputed 4,720-acre piece of land within the Maasai Mara Game Reserve.
- 10 Mar 2025 - The Democratic Republic of Congo has temporarily suspended exports of cobalt as the world's leading producer hopes to stem falling prices, though analysts warn the freeze is not without risk.
- 10 Mar 2025 - Chaos erupted in Ongata Rongai, Kajiado County, on Monday as police used tear gas to disperse Multimedia University students who attempted to block Magadi Road protesting their colleague’s death.
- 10 Mar 2025 - Three families in Kirinyaga are mouring the loss of three minors who died in a road accident on Monday morning after their motorcycle hit a lorry at Kibingoti along Sagana-Karatina road.
- 10 Mar 2025 - The changes are expected to take effect upon publication in the Kenya Gazette.
- 10 Mar 2025 - The industrial action, led by the trade union Verdi, began unexpectedly on Sunday at Hamburg Airport, before expanding to a nationwide strike.
- 10 Mar 2025 - The President and the DP are on weeklong development tour of the Nairobi City.
- 10 Mar 2025 - Police officers were present providing security to the unknown individuals who were carrying out the demolitions.
- 10 Mar 2025 - A drunk officer on Sunday night opened fire at the Gigiri police canteen in Nairobi’s Westlands area, killing a colleague and injuring another.
- 10 Mar 2025 - The two are fighting over property ownership.