- 152 views
Serikali inaweka mikakati ya kukidhia nakisi iliyotokea kufuatia hatua ya Marekani ya kusitisha ufadhili wa shirika la USAID ambalo lilikuwa linafadhili baadhi ya huduma za afya humu nchini. Kulingana na waziri wa afya Dkt. Deborah Barasa, taifa hili linajitahidi kujumuisha ushughulikiaji maradhi ya UKIMWI na kifuakikuu katika mfumo wa huduma za matibabu hapa nchini. Kulingana na Barasa, halmashauri ya afya ya jamii-SHA itakuwa muhimu katika kuhakikisha huduma za matibabu ya virusi vya HIV na TB zinaendelea kutolewa kufuatia kusitishwa kwa ufadhili wa kigeni. Shirika la USAID tayari limetangaza kwamba litawapeleka wafanyikazi wake wote kote ulimwenguni kwa likizo kuanzia Ijumaa ijayo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Matibabu ya ukimwi, Kifua kikuu na Malaria kuathiriwa kufuatia agizo la Trump
- 6 Feb 2025 - Beneath the serenity of Manyani village, where fisherman Brian Odhiambo was brought up, a dark cloud slowly gathers.
- 6 Feb 2025 - Former Likoni DCIO Charles Onyango Ka’galo who was arrested on Tuesday for receiving Ksh.20,000 bribe has been arraigned in Mombasa.
- 5 Feb 2025 - Prime Cabinet Secretary (CS) Musalia Mudavadi says the operations of the Kenya-led Multinational Security Support (MSS) mission in Haiti won’t be jeopardised after the United States froze its financial contributions to the force through the United…
- 5 Feb 2025 - One of the police officers implicated in Rex Masai’s murder during the anti-government protests, Isaiah Muraguri, was arraigned on Wednesday together with former Nairobi Police Commander Adamson Bungei, who is the current director of police operations.
- 5 Feb 2025 - Prince Rahim Al-Hussaini was named the 50th hereditary Imam, or spiritual leader of the Shia Ismaili Muslims, on Wednesday following the unsealing of his father Aga Khan IV's will, the Aga Khan Development Network said in a statement.
- 5 Feb 2025 - Justus Musyimi and Martin Mwau, who went missing in December and whose bodies were recovered at Nairobi Funeral Home, died of multiple injuries in the chest, head, abdominal, and neck.
- 5 Feb 2025 - It will now be easy for residents of border counties to acquire national Identity (ID) cards after President William Ruto signed a proclamation on Wednesday scrapping a 60-year old vetting requirement.
- 5 Feb 2025 - Nearly 40,000 Kenyans whose jobs are supported by the USA government aid are staring at possible job losses following the government’s move to shut down overseas mission and merge USAID with the State Department.
- 5 Feb 2025 - He will take on the role from his father Prince Karim Aga Khan, who died on Tuesday at the age of 88
- 5 Feb 2025 - "We want the people of Northern Kenya to feel equal to the rest of the country."