Mbio za nyika za Chepsaita 2024 inatarajiwa kuvutia wanariadha wengi wa kigeni

  • | NTV Video
    45 views

    Maandalizi ya makala ya pili ya mbio za Nyika za Chepsaita yameshika kasi huku waandalizi wakisema mashindano hayo yatakayoandaliwa Disemba tarehe 7 yanatarajiwa kuwavutia wanariadha wengi wa kigeni haswa baada kupewa hadhi ya kitengo cha dhahabu na shirikisho la riadha duniani.

    Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.

    Website: https://www.ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya