- 69 viewsMeya wa Paris, Anne Hidalgo, aliogelea katika maji yenye matope ya Seine Jumatano kuonyesha kuwa mto huo hivi sasa ni msafi kabisa kwa ajili ya matukio ya kuogelea wakati wa michezo ya Olimpiki. Akiwa amevaa miwani maalum ya kuogelea na nguo za kuogelea, kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 65 aliogelea kifudifudi kabla ya kuuzamisha uso wake na kutambaa ndani ya maji, akikamilisha takriban mita 100 kwenda na kurudi katika mto huo. Alikuwa ameogelea akiwa na maafisa wa ngazi ya juu na Tony Estanguet, mshindi wa medali ya dhahabu mara tatu katika mashindano ya kuendesha mtumbwi, anayeongoza kamati ya maandalizi ya Michezo ya Paris, itakayo funguliwa wiki ijayo Julai 26. “Leo ni uthibitisho kuwa tuko pale ambako tulitarajia kuwa,” Estanguet alisema. “Hivi sasa tuko tayari kuandaa michezo hiyo huko Seine.” Licha ya uwekezaji wa euro bilioni 1.4 ($1.5 bilioni) kuzuia maji taka kuvuja na kuingia katika mto huo, wasiwasi kuhusu mto huo umeenea katika jimbo la Seine kuelekea Michezo ya Paris. Lakini kuanzia mwezi Julai, kutokana na mvua kubwa hatimaye kumekuwa na hali ya hewa ya joto, sampuli zikionyesha mto huo uko tayari kwa ajili ya uogeleaji na mashindano ya Olimpiki. #meya #paris #olimpiki #mto #annehidalgo #voa #michezo #kuogelea #ufaransa #voaswahili
Meya wa Paris aogelea mto Seine kuthibitisha unafaa kutumika kwa Olimpiki
- 22 Apr 2025 - The Independent Policing Oversight Authority (IPOA) has launched a probe into an incident where a woman was allegedly assaulted by a police officer in Narok when she went to record a statement.
- 22 Apr 2025 - Titus Wekesa Sifuna, has been arraigned before the Milimani Law Courts under a miscellaneous application.
- 22 Apr 2025 - Kariobangi North Member of County Assembly Joel Munuve has passed away.
- 22 Apr 2025 - Harvard University sued on Monday to block U.S. President Donald Trump from freezing billions of dollars in federal funding after the elite research institution rejected a list of White House demands that it said would undermine its independence.
- 22 Apr 2025 - The former prime minister has found himself caught up in the news surrounding the death of Pope Francis.
- 22 Apr 2025 - The National Assembly Health Committee has set up an inquiry committee to probe the kidney transplant scandal at Mediheal Hospital in Eldoret.
- 22 Apr 2025 - Nakuru County has issued a 21-day public notice for the disposal of 59 unclaimed bodies that have remained in two major public morgues for over three months. The notice, signed by County Public Health Officers Beatrice Oyiengo and Rachael Mwangi,…
- 22 Apr 2025 - The media house has been grappling with a cash crunch for years now.
- 22 Apr 2025 - Pope Francis died on April 21
- 22 Apr 2025 - Lawmakers respond to outrage over delays in the processing of the crucial documents.