Mfumo wa uchaguzi wa Marekani unategemea kura za wajumbe hutumika kumpa ushindi rais
Baada ya kila chama kumteua mteule wa kuwania urais, mteule huyo kimkakati humchagua mgombea mwenza kwa ajili ya uchaguzi mkuu.
Timu huanza kazi kwa bidii kwa kampeni ya matayarisho kwa ajili ya siku ya mwisho ya upigaji kura hapo Novemba 5, Jumanne ya kwanza ya mwezi Novemba.
Siku ya uchaguzi, wapiga waliojiandikisha wanakwenda katika vituo vya kupigia kura kumchagua mgombea uraia wa chama chao.
Rais kimsingi ataamuliwa na mfumo maarufu unaoitwa kura za wajumbe.
Kura za wajumbe inaundwa na wawakillishi, au wapiga kura, ambao wametengwa kulingana na matokeo ya kupiga kura katika kila jimbo. Majimbo yenye idadi kubwa ya watu wana wapiga kura wengi zaidi. Majimbo yenye idadi ndogo ya watu yana wapiga kura wachache.
Kushinda urais, mgombea lazima apate wingi wa kura za wajumbe kiasi cha kura 270.
Wapiga kura halafu wanapiga kura zao mwezi mmoja baadaye. Lakini rais mpya hachukui madaraka mpaka atakapoapishwa mwishoni mwa mwezi Januari.
#kurazawajumbe #electoralcollege #rais #uchaguzimkuu2024 #voa #voaswahili
21 Apr 2025
- The 88-year-old pontiff died at his home at his residence in the Vatican's Casa Santa Marta.
21 Apr 2025
- The two have been warming up to each other with speculations on the future building up.
21 Apr 2025
- The Catholic faithful are set to get a new Pope after the death of Pope Francis on Easter Monday.
21 Apr 2025
- The death of Pope Francis on Monday sets in motion centuries-old traditions which will culminate in the election by cardinals of a new pontiff -- but with a few changes.
21 Apr 2025
- Here are some key dates in the life of Pope Francis, the first Jesuit and Latin American pope, who died on Monday aged 88:
21 Apr 2025
- Pope Francis, the first Latin American leader of the Roman Catholic Church, has died, the Vatican said in a video statement on Monday.
21 Apr 2025
- The 88-year-old pontiff died at his home at his residence in the Vatican's Casa Santa Marta.
21 Apr 2025
- Embakasi East Member of Parliament (MP) Babu Owino has suggested a potential joint presidential bid in 2027 with his Kiharu counterpart Ndindi Nyoro.
21 Apr 2025
- Key quotes from Pope Francis’s papacy: – Humility – “Pray for me” – pronounced at the end of every speech, because, he once explained, “I am a sinner too.” His first tweet and first post on Instagram were versions of the mantra. – The poor – “How I…
21 Apr 2025
- The two have been warming up to each other with speculations on the future building up.
21 Apr 2025
- The Catholic faithful are set to get a new Pope after the death of Pope Francis on Easter Monday.
21 Apr 2025
- It is Easter. This is the period that Christianity worldwide commemorates the Passion of the Lord Jesus Christ, his crucifixion, and his triumphant rising from the dead. Jesus Christ was tried by Pontius Pilate, who was the prefect (governor) of Judea…
21 Apr 2025
- When a pope dies, the Roman Catholic Church begins a series of elaborate rituals.