Mfumo wa uchaguzi wa Marekani unategemea kura za wajumbe hutumika kumpa ushindi rais
Baada ya kila chama kumteua mteule wa kuwania urais, mteule huyo kimkakati humchagua mgombea mwenza kwa ajili ya uchaguzi mkuu.
Timu huanza kazi kwa bidii kwa kampeni ya matayarisho kwa ajili ya siku ya mwisho ya upigaji kura hapo Novemba 5, Jumanne ya kwanza ya mwezi Novemba.
Siku ya uchaguzi, wapiga waliojiandikisha wanakwenda katika vituo vya kupigia kura kumchagua mgombea uraia wa chama chao.
Rais kimsingi ataamuliwa na mfumo maarufu unaoitwa kura za wajumbe.
Kura za wajumbe inaundwa na wawakillishi, au wapiga kura, ambao wametengwa kulingana na matokeo ya kupiga kura katika kila jimbo. Majimbo yenye idadi kubwa ya watu wana wapiga kura wengi zaidi. Majimbo yenye idadi ndogo ya watu yana wapiga kura wachache.
Kushinda urais, mgombea lazima apate wingi wa kura za wajumbe kiasi cha kura 270.
Wapiga kura halafu wanapiga kura zao mwezi mmoja baadaye. Lakini rais mpya hachukui madaraka mpaka atakapoapishwa mwishoni mwa mwezi Januari.
#kurazawajumbe #electoralcollege #rais #uchaguzimkuu2024 #voa #voaswahili
19 Oct 2024
- He will be at the helm of the institute for 3 years.
19 Oct 2024
- The plan's proponents argue its implementation will promote economic integration and cooperation among EAC countries.
19 Oct 2024
- The hope is that the steady shilling will influence the prices of commodities by lowering the costs of imports.
20 Oct 2024
- I thought our consensual romance was private. Now I'm out of a job - and my coworker isn't.
19 Oct 2024
- Detectives from the Directorate of Criminal Investigations (DCI) have arrested two individuals believed to be the masterminds of a spate of robberies targeting female students at Laikipia University main campus.
19 Oct 2024
- A US judge on Friday let Google delay opening Android-powered smartphones to rival app shops, suspending a November 1 deadline ordered in an antitrust case brought by Fortnite-maker Epic Games.
19 Oct 2024
- Hamas vowed Friday not to release the hostages seized during its October 7 attack on Israel until the Gaza war ends, as it mourned the death of its leader Yahya Sinwar.
19 Oct 2024
- Democratic Action Party of Kenya party leader Eugene Wamalwa claims there is a plot to have the courts schedule a hearing at night this weekend to proceed with the impeachment of Deputy President Rigathi Gachagua.
19 Oct 2024
- He will be at the helm of the institute for 3 years.
19 Oct 2024
- Leaders express optimism about Kindiki's ability to unify the region and transcend traditional political divides.
19 Oct 2024
- Kalonzo condemns swift ouster of Gachagua, cites legal flaws
19 Oct 2024
- Kindiki on the path to history as Kenya's 13th Number Two
19 Oct 2024
- MPs' quick nod, two court orders and fightback on dramatic Friday