Mjasiriamali aeleza changamoto za biashara ya unoaji visu
Salum Ally ni Mkazi wa Dar es Salaam alieamua kujiajiri kupitia unoaji wa visu na mapanga majumbani. Hivi sasa kazi hiyo imekuwa chanzo kikuu cha mapato kwake yeye na familia yake ambapo kazi hiyo inampa fursa ya kusomesha watoto wake pamoja na kukidhi mahitaji ya familia yake licha ya changamoto anazokutana nazo.
Kwa upande wa wateja wa biashara hiyo ya unoaji visu wameeleza namna gani wananufaika na kazi ya unoaji majumbani inayofanywa na Ally wakisema kazi hiyo inawarahisishia kupata huduma ya kunolewa visu vyao majumbani bila kufika katika maeneo ya masoko ambapo ndipo wanoaji hupatikana kwa wingi anaeleza Sheyma Ayoub, Mkazi wa Dar es Salaam.
#visu #unaoaji #salumally #mkazi #daressalaam #familia #mjasiriamali #biashara #voaswahili #voa
1 Apr 2025
- The move seeks to resolve a major challenge university students have been facing.
1 Apr 2025
- The competition will be open to Kenyan citizens and foreigners.
1 Apr 2025
- Tests two illegal substances in his sample.
2 Apr 2025
- Health officials and police have scrambled to explain the mix-up, which has appalled political leaders and stoked outrage across the country.
2 Apr 2025
- South Sudanese government denies Odinga's claims that First Vice President Riek Machar's wife was also under house arrest.
2 Apr 2025
- A private developer obtained the land’s title deed in February.
2 Apr 2025
- Ruto fails to keep Judiciary budget promise
2 Apr 2025
- Kenya-Sudan trade row deepens as Khartoum denies tea exports
2 Apr 2025
- South Sudan is on the verge of war. Uganda stepped in to help by deploying its troops in Juba on realising that escalating conflict could destabilise the world’s youngest nation. The United Nations Mission in South Sudan has warned that the country…
2 Apr 2025
- A women-only outfit can thrive if it balances legal requirements with advocacy for women’s rights.
2 Apr 2025
- Tuju once said that then-DP William Ruto was paid billions of shillings for being Uhuru Kenyatta's running mate in 2013.
2 Apr 2025
- Seven family members perished in a crash at High Peak, near Naivasha town.
2 Apr 2025
- Scammed and trapped in Myanmar's dirty digital camps, the daring escape