- 25 views
Mji wa Eldoret umeidhinishwa rasmi kama jiji la tano hapa nchini katika hafla iliyoongozwa na rais William Ruto katika uga wa michezo wa Eldoret kaunti ya Uasin Gishu na kuhudhuriwa na viongozi tofauti. Rais ametangaza kwamba shilingi bilioni moja nukta tatu zitatumika kuinua hadhi ya miji mikuu nchini. Hata hivyo Ruto ameonekana kukemea vikali maandamano yaliyofanyika mjini Eldoret na kuyataja kama yenye uharibifu na kuwataka wenyeji kutoruhusu matukio kama hayo tena.
Mji wa Eldoret waidhinishwa rasmi kama jiji la tano hapa nchini
- 24 Oct 2024 - A recent food safety crackdown has led to the discovery of street food (smocha) trolleys stored in public toilets along Thika Road.
- 24 Oct 2024 - Kiambu Senator Karungo Thang'wa has proposed a new bill that will seek to reduce term limits for all elected leaders from the current five years to four years.
- 24 Oct 2024 - President Ruto issued the orders while addressing stakeholders in Nakuru.
- 24 Oct 2024 - The DNA outcome further deepens the mystery surrounding the disappearance of the MCA
- 24 Oct 2024 - Rigathi Gachagua is embroiled in a tough legal battle to contest his impeachment.
- 24 Oct 2024 - Striking Boeing workers have rejected a new offer from the plane-making giant, which included a 35% pay rise over four years.
- 24 Oct 2024 - Last year, Kenya alongside Uganda, and Tanzania won the bid to host AFCON games in 2027.
- 24 Oct 2024 - Police in collaboration with Migori county government are investigating a county enforcement officer who is accused of assaulting a tipper driver for allegedly urinating in the open within Rongo town, Rongo Sub County on Wednesday.
- 24 Oct 2024 - The Kenya Revenue Authority (KRA) will begin monitoring all locally assembled and imported mobile phones sold in Kenya from January 1, 2025, to ensure tax compliance.
- 24 Oct 2024 - The Commission was forced to issue clarification after a media report.