- 43 views
Watu watano wameokolewa kutoka mugodi wa madini ya dhahabu katika kijiji cha Museno huko eneobunge la Shinyalu, kaunti ya Kakamega ,baada ya mugodi huo kuporomoka jana jioni .Hii ni baada yaw engine wanane kuokolewa kutoka mugodi huo .Wengine saba wamekwama kwenye Mugodi huo .Mugodi huo uliporomoka wakati shughuli ya uchimbaji ilipokuwa ikiendelea .Shughuli ya kuwaokoa watu waliokwama kwenye mugodi huo bado inaendelea ikiongozwa na polisi na wachimbaji migodi . Licha ya kukumbwa na changamoto kadhaa ikiwemo ukosefu wa vifaa Mkuu wa polisi wa Shinyalu pamoja na maafisa wengine wahusika wameonya wakazi dhidi ya kukaribia eneo hilo wakisema ni hatari kwa usalama .
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mkasa wa mgodi Kakamega : Watu -5 wameokolewa na Watu 15 bado wamekwama
- - Kenya Cup Volleyball ››
- 4 Feb 2025 - The tragic incident occurred on Sunday night, when a police officer, who was also admitted to the hospital, went crazy and attacked other patients.
- 4 Feb 2025 - M23, an amorphous well-heeled and ambitious rebel group from the east of the DRC is the lead combatant within a coalition of other armed anti-government militias that are facing the defense forces of the DRC.
- 4 Feb 2025 - The feel-good movie called "My Favourite Cake" has been lauded on the festival circuit and appeared in cinemas in more than a dozen countries at the end of 2024.
- 4 Feb 2025 - Former deputy president Rigathi Gachagua says he was not involved in last year’s June-July anti-government protests led by the youth.
- 4 Feb 2025 - Lung cancer is the commonest form of the disease, with 2.5 million people diagnosed in 2022, said the study, published in the Lancet Respiratory Medicine journal on World Cancer Day.
- 4 Feb 2025 - A 30-year-old artisanal miner died and another one seriously injured after a gold mining shaft collapsed in Gobei area, Bondo sub-county last evening.
- 4 Feb 2025 - Kenyans seeking employment opportunities abroad have been urged to exercise due diligence. The Ministry of Foreign and Diaspora Affairs cautioned Kenyans against falling prey to fraudsters.
- 4 Feb 2025 - The chiefs were abducted while heading to a consultative security planning ahead of Ruto's tour.
- 4 Feb 2025 - Ruto blasted his former deputy during a visit to the Mandera Teachers Training College in Mandera County.
- 4 Feb 2025 - The intervention comes in the wake of students being unable to access education.