Mkimbizi wa Cameroon Anaongoza Juhudi za Kutafuta Elimu ya Juu Nigeria

  • | VOA Swahili
    355 views
    Tangu mwaka 2017, serikali ya Cameroon na wanaotaka kujitenga wanaozungumza Kingereza wamekuwa katika vita. Mgogoro huo umeuwa zaidi ya watu 6,000 na kuwafanya maelfu ya watu wengine kukoseshwa makazi. Wengi kati yao wamechukua hifadhi huko Nigeria na wanajaribu kujijenga tena kimaisha, lakini fursa na rasilimali ni chache. Hata hivyo, mkimbizi mmoja anafanya juhudi kubadilisha maisha yake kwa kujiunga na elimu ya juu kama njia ya kufikia mafanikio. Timothy Obiezu anaripoti kutoka Ogoja huko kusini mwa Nigeria. #worldrefugeeday #wrd #nigeria #cameroon #unhcr #voa