Shirika la misaada ya kibinadamu la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limeonya kwamba hali katika jimbo la Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo inazidi kuwa mbaya. MSF inasema watu huko wanakabiliwa na mashambulizi ya vurugu, kulazimishwa kukimbia nyumba zao, na kuhangaika kupata huduma za matibabu. Katika ripoti hiyo mpya, MSF inasema maisha yanazidi kuwa hatari zaidi kwa jamii zilizoko kwenye mzozo huko mashariki mwa DRC, ambapo Umoja wa Mataifa unasema mapigano hayo yamewafanya zaidi ya watu laki moja kukosa makazi. Tangu mwanzo wa mwaka huu, zaidi ya watu 200 wameuawa katika mashambulizi, na wengine wengi kujeruhiwa. MSF inasema madaktari wao wamewatibu manusura wa mashambulizi ya mapanga na risasi, wakiwemo watoto na wanawake wajawazito.
26 Mar 2025
- Stephen Munyakho, the Kenyan man who faced execution in Saudi Arabia is set to return home after Nairobi and Riyadh reached an agreement and a $1 million (Ksh. 129 million) settlement paid, UDA party Secretary-General Hassan Omar has said.
26 Mar 2025
- Public Service Cabinet Secretary Justin Muturi has fired back at President William Ruto for labelling him 'fairly incompetent' during his tenure as the Attorney General.
26 Mar 2025
- Police in Nyamira are investigating a case where a 22-year-old Chuka University student died after non-stop caning by his uncles in Nyankono village, North Mugirango Constituency.
26 Mar 2025
- A witness in the manslaughter case against Paul Mackenzie says the preacher paid bond for his father, a parishioner at the pastor’s Good News International Church, after being arrested and charged for taking his children off school.
26 Mar 2025
- A 23-year-old Kenya Defence Forces (KDF) officer was at pains in an Eldoret court as he testified against his own father accused of murdering his mother.