Mshukiwa wa jaribio la kumuua Trump akikamatwa

  • | VOA Swahili
    179 views
    Video iliyochukuliwa na kamera inayovaliwa mwilini iliyobandikwa Jumatatu katika mtandao wa Facebook inaonyesha kukamatwa kwa mtu anayeshukiwa kwenye jaribio la kumuua Donald Trump. Kanda hiyo ya video ilibandikwa na Ofisi ya Mkuu wa Polisi ya Kaunti ya Martin inamuonyesha Ryan Routh akitembea kinyumenyume huku mikono yake ikiwa kichwani pembeni ya barabara kabla ya kufungwa pingu na kuchukuliwa na polisi. Picha hizo zilitolewa na Ofisi ya Sheriff wa Kaunti ya Martin, Florida, maafisa wa polisi walimkamata Ryan Routh, mtu anayeshukiwa katika jaribio la kumuua Donald Trump, Jumapili, Septemba 15, 2024. (AP). #trump #assassination #voa
    assassin