Skip to main content
Skip to main content

Mswada wa sheria ya malipo kwa bidhaa za kilimo walenga kulinda sekta ya kilimo

  • | KBC Video
    94 views
    Duration: 2:29
    Huenda serikali za kaunti zikalazimika kuwasaidia wakulima kulipa malipo ya kimsingi kwa bidhaa zinazokosa masoko na bei ya kuridhisha. Mswada wa sheria ya malipo kwa bidhaa za kilimo, uliopo sasa mbele ya bunge la Seneti, unalenga kulinda sekta ya kilimo kwa kujumuisha malipo ya kimsingi kwenye mipango ya bajeti ya kaunti. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive