Rais wa Marekani Joe Biden atahutubia Bunge la pamoja la Marekani kuhusu Hali ya Kitaifa Jumatano 0200UTC. Rais Biden anatarajiwa kuzungumzia uvamizi wa Russia nchini Ukraine, Uchumi wa Marekani, udhibiti wa bunduki na mageuzi katika jeshi la polisi, kati ya mambo mengine.
Sarah Huckabee Sanders, gavana wa jimbo la Arkansas la Marekani, atatoa hotuba ya Warepublikan juu ya hali ya kitaifa, kama ilivyo desturi kwa mwakilishi kutoka chama cha upinzani kukanusha maelezo ya rais.
#rais #joebiden #marekani #hotuba #haliyataifa #voa #voaswahili
12 Mar 2025
- The rock went largely unnoticed for 20 years until the school, in Queensland's rural Banana shire, asked paleontologist Anthony Romilio to examine a cluster of three-toed track marks.
12 Mar 2025
- The first round notably eliminates the Office of the Chief Scientist, led by Katherine Calvin, a renowned climatologist who contributed to key UN climate reports. She and other US delegates were also barred from attending a major climate science meeting…
12 Mar 2025
- Spain's government approved a bill on Tuesday imposing massive fines on companies that use content generated by artificial intelligence (AI) without properly labelling it as such, in a bid to curb the use of so-called "deepfakes".
12 Mar 2025
- Former Philippine President Rodrigo Duterte was arrested and taken into custody on Tuesday in Manila on an International Criminal Court warrant for the "war on drugs" that defined his term in office and which killed thousands of Filipinos.