- 47 views- - - - - VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili. Tembelea tovuti yetu voaswahili.com/duniani-leo na Makala Maalum ya Jarida la Wikiendi. Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu. Matangazo yetu yanasambazwa kupitia satellite, cable, FM na MW, na and kupitia mtandao wa vituo vya matangazo vya washirika wetu takriban 3000. Tangu kuanzishwa mwaka 1942, Sauti ya Amerika imeendelea na azma yake ya kutoa habari za kina na kuwaambia wasikilizaji wake ukweli. Tangu kipindi cha Vita Vya Pili vya Dunia, Vita Baridi, Vita dhidi ya ugaidi wa kimataifa, na juhudi za ukombozi duniani kote hivi leo VOA imekuwa mfano katika kutekeleza kanuni za vyombo vya habari huru. Jiunge na VOA Swahili: » Tembelea Tovuti Yetu: https://bit.ly/3PtyNWc »Angalia Video Zaidi za VOASwahili: https://bit.ly/3TNTiiI »Pakua VOA+ katika vifaa vya Apple : https://bit.ly/VOAPlus »Download VOA+ katika vifaa vya Android https://bit.ly/3KykriI »Tembelea Tovuti yetu: https://www.voaswahili.com/ »Upende ukurasa wetu wa Facebook: https://www.facebook.com/voaswahili »Tufuatilie katika Instagram: https://www.instagram.com/voaswahili »Tufuatilie katika X: https://twitter.com/voaswahili »Tufuatilie katika YouTube: https://www.youtube.com/@VOASwahili
Mwanamuziki Damian Soul aeleza juu ya nyimbo yake mpya na tamasha la muziki New York | VOA Swahili
- 16 Sep 2024 - With Agriculture accounting for 54 per cent of Kenyan households' expenditures, President William Ruto is still banking on the fertilizer subsidy program to enhance food production and reduce the costs of food to the consumer.
- 16 Sep 2024 - Residents of Nairobi and its suburbs have raised concerns over excessive noise levels from clubs and churches, which exceed legally acceptable limits.
- 16 Sep 2024 - Republican presidential candidate Donald Trump is safe following gunshots in his vicinity, his campaign said in a statement on Sunday. It said no further details were available.
- 16 Sep 2024 - The Ruto-Gachagua political war came to an open at the Deputy President's backyard in Nyeri, when Gachagua, the host skipped the event.
- 16 Sep 2024 - On the campaign trail to become Kenya’s fifth President, William Ruto promised a raft of ambitious reforms across the education sector; from early childhood up to the tertiary levels, Ruto aimed for a complete makeover of the education sector; a plan…
- 16 Sep 2024 - With five confirmed positive cases of Mpox, Kenya is ramping up its preparedness and response to the deadly virus.
- 15 Sep 2024 - The continued delay in the recruitment process for the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) commissioners is causing concerns with a number of constituencies and wards remaining with representatives.
- 15 Sep 2024 - Ukrainian troops are suffering high losses because Western arms are arriving too slowly to equip the armed forces properly, President Volodymyr Zelenskiy told CNN in an interview aired on Sunday.
- 15 Sep 2024 - Students of Katoloni High School in Machakos County were on Sunday picked from the institution by parents after Saturday night’s inferno that razed a whole boys' dormitory.
- 15 Sep 2024 - The Ministry of Foreign Affairs has clarified that the labor agreement with Germany does not set a predefined limit on the number of workers who can move there.