Viongozi wa nchi za Afrika Mashariki na zile za Kusini mwa Afrika wanakutana jijini Dar es Salaam kujaribu kutafuta suluhu ya mzozo unaoendelea nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo.
Wengi wanasubiria kuona kwa kiasi gani jumuiya hizi mbili zitafanikiwa kudhibiti mapigano na kurejesha usalama na huduma za msingi za wananchi huko Mashariki mwa Kongo.
Je watafanikiwa? @sammyawami anaelezea
Kutazama makala hii kwa urefu zaidi tembelea ukurasa wa Youtube wa BBCSwahili
-
🎥: @bosha_nyanje
-
-
-
#bbcswahili #DRC #tanzania #SADC #EAC
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
12 Mar 2025
- Spain's government approved a bill on Tuesday imposing massive fines on companies that use content generated by artificial intelligence (AI) without properly labelling it as such, in a bid to curb the use of so-called "deepfakes".
12 Mar 2025
- Former Philippine President Rodrigo Duterte was arrested and taken into custody on Tuesday in Manila on an International Criminal Court warrant for the "war on drugs" that defined his term in office and which killed thousands of Filipinos.