- 112 views
Serikali inachunguza mikasa ya moto ya mara kwa mara kwenye masoko katika kaunti ya Nairobi, ambayo imewaacha maelfu ya wafanyabiashara wakikadiria hasara kubwa. Akizungumza baada ya kukutana na wafanyabiashara waliopoteza mali yao kufuatia mkasa wa moto wa hivi majuzi katika soko la Gikomba, naibu Rais Prof. Kithure Kindiki alisema ripoti ya uchunguzi wa moto huo inatarajiwa kutoa mapendekezo ya suluhu za kudumu kwa mikasa hiyo katika masoko ya Gikomba na Toi. Timothy Kipnusu na taarifa zaidi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Naibu rais asema serikali inachunguza mioto ya masoko Nairobi
- 18 Apr 2025 - Two joint Somali-U.S. airstrikes killed 12 al Shabaab militants in central Somalia and destroyed a ship carrying weapons for the al Qaeda-linked group, the Somali government said on Thursday, following recent advances by the Islamists.
- 18 Apr 2025 - A still-convalescing Pope Francis said Thursday he was doing "as best I can" as he visited inmates at Rome's central jail before Easter.
- 18 Apr 2025 - Matiang'i has been engaged as an employee of the World Bank based in Washington DC.
- 18 Apr 2025 - In a region long plagued by service delivery delays and missed opportunities, a quiet but impactful shift is taking place, ushered in not with grand fanfare but through technology that now delivers national identity cards within just seven days. While…
- 18 Apr 2025 - Sudan has implored MPs to use their constitutional mandate to stop President William Ruto from interfering with its internal affairs. Sudan, while lamenting the hosting of the Rapid Support Forces (RSF), alleged that Kenya is set to invite the…
- 18 Apr 2025 - PS Oluga faces SHA challenges as he takes over office
- 18 Apr 2025 - Power plant to include irrigation, says CS Opiyo Wandayi
- 18 Apr 2025 - Ruto: I will not stop giving money to churches
- 18 Apr 2025 - Fund bleeding disease to save lives, government urged
- 18 Apr 2025 - Why Mediheal wants DW to pull down kidney story and apologise