Naibu wa Rais Gachagua asema anafahamu njama ya kumtimua

  • | Citizen TV
    2,149 views

    Naibu Rais Rigathi Gachagua sasa anasema anajua kuna njama ya kumtimua ofisini ambayo inapangwa na wabunge wanaoegemea upande wa rais william ruto. Akizungumza alipozuru soko la wakulima na maeneo mengine ya biashara hapa jijini nairobi, gachagua aliwatahadharisha wakazi wa nairobi dhidi ya kuwapigia kura wasaliti