- 1,400 viewsMsemaji wa Serikali ya Tanzania, Greson Msigwa, amesema kuwa nchi imejipatia chanzo kikubwa cha umeme wa gharama nafuu na kwamba Watanzania wanapaswa kuwa na subira wakati Serikali inachakata na kutekeleza hatua zinazohitajika ili kushusha bei ya umeme. Akizungumza na waandishi wa habari kwenye Bwawa la Mwalimu Nyerere, Rufiji, Mkoa wa Pwani. Msigwa alieleza kuwa Serikali imewekeza katika miradi mikubwa ya uzalishaji umeme na kuwa, licha ya kiu ya wananchi ya kuona bei za umeme zikishuka, Serikali haitakimbilia kufanya maamuzi ya haraka bila kutathmini madhara yake. “Tanzania sasa ina umeme wa gharama ya chini zaidi Afrika. Gharama zetu za umeme ni za chini kiasi kwamba tunapata changamoto ya kuvutia wawekezaji wa sekta binafsi. Wawekezaji wanapenda kuwekeza kwenye maeneo ambapo gharama za umeme ni juu ili waweze kupata faida kubwa,” alisema Msigwa. Aidha, alisisitiza kuwa Serikali itaendelea kuchukua hatua madhubuti kuhakikisha kuwa Watanzania wanapata umeme kwa bei nafuu, huku ikijitahidi kuboresha miundombinu na kuchochea ukuaji wa sekta ya nishati nchini. Ripoti ya Amri Ramadhani, VOA, Tanzania. #gresonmsigwa #msemaji #serikali #rufiji #mkoawapwani #bwawa #mwalimunyerere #gharama #serikali #voa #voaswahili #tanzania
'Najua kiu ya Watanzania nikutaka kuona umeme unashuka bei, tuachieni serikali tuchakate...'
- 21 Feb 2025 - Messages of condolences have continued to pour in for the late former IEBC Chairperson Wafula Chebukati, who died on Thursday night.
- 21 Feb 2025 - European Union election observers have decried delays in the appointment of the Independent Electoral Boundaries Commission (IEBC) Commissioners, which they say has compromised overall preparations for the 2027 polls.
- 21 Feb 2025 - A Ugandan magistrates' court charged detained opposition politician Kizza Besigye with treason on Friday, rejecting his lawyer's pleas that he be transferred to hospital to help him recover from ill health stemming from a hunger strike.
- 21 Feb 2025 - Archbishop Anthony Muheria has called on President William Ruto's administration to focus on fulfilling its promises that still remain unkept and desist from turning the government into an advertising agency.
- 21 Feb 2025 - The DPP has filed an appeal against the acquittal of former Kiambu Governor Ferdinand Waititu of money laundering charges in a Ksh.588 million graft case.
- 21 Feb 2025 - CJ Koome and her colleagues in the Apex Court are facing heavy scrutiny.
- 21 Feb 2025 - The government has proposed a list of new measures to regulate the boda boda industry; which is notorious for flouting traffic rules and thus compromising public safety.
- 21 Feb 2025 - William Sigilai, representing KNH CEO told MPs the patient in question had been discharged at the time of Kinyua’s death.
- 21 Feb 2025 - She wants the JSC stopped from processing petitions filed against her.
- 21 Feb 2025 - EU summons Rwandan ambassador over DR Congo offensive