- 440 views
Waziri wa vyama vya ushirika na ustawi wa biashara ndogo ndogo na zile za kadri Wycliffe Oparanya ameonya kwamba atajiondoa serikalini iwapo utawala wa Kenya kwanza hautatekeleza mawazo yake. Akiwahutubia waumini katika kanisa la Church of God mtaani South B, Oparanya hata hivyo alisema kuwa ataongoza wizara hiyo kuunga mkono wafanyabiashara ndogo ndogo na zile za kadri ili kubuni nafasi zaidi za ajira hasa kwa vijana. Viongozi wa ODM akiwemo naibu kiongozi wa chama Godfrey Osotsi walisema kuwa chama cha ODM hakitalaumiwa iwapo serikali haitatimiza matarajio ya wananchi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Oparanya atishia kujiondoa mawazo yake yasipotekelezwa
- - KISUMU CELEBRATIONS ››
- 22 Oct 2024 - Candidates sitting for this year’s Kenya Certificate of Secondary Education (KSCE) will be issued with the new Maisha Card before the end of the assessment, Immigration and Citizen Services Principal Secretary Julius Bitok has announced.
- 22 Oct 2024 - Isiolo Governor Abdi Guyo finally appeared before a Senate committee after multiple summons and fines imposed for failing to honour the Senate.
- 22 Oct 2024 - Rigathi Gachagua was stretchered into hospital as the Deputy President of the Republic of Kenya but when he walked out three days, he was a member of the opposition.
- 22 Oct 2024 - The decision will set the stage for constitution of IEBC.
- - KCSE candidates to receive Maisha Card before exams end
- 22 Oct 2024 - This comes even as Kenya expects to unlock a Ksh464 billion IMF loan facility.
- 22 Oct 2024 - Previous bans have left farmers counting losses.
- 22 Oct 2024 - The four have been established to be well connected senior officers within the devolved unit.
- 22 Oct 2024 - More than 40 houses were torched in the tragedy.
- 22 Oct 2024 - The new directive is set to address major challenges that have plagued the SHA transition.