- 2,804 views
Aliyekuwa mlimbwende wa gereza la wanawake la Lang'ata almaarufu 'Miss Lang'ata' Ruth Kamande ataendelea kutumikia kifungo chake cha maisha kwa kumuua mpenziwe Farid Mohammed Halim, mnamo mwaka wa 2015. Hii ni baada ya jopo la majaji saba wa mahakama ya Upeo, kutupilia mbali rufaa yake ya kutaka kupunguziwa kifungo au kusikizwa tena kwa kesi dhidi yake. Kamande alitaka kutumia dhana ya mwanamke aliyedhulumiwa na mpenziwe katika utetezi wake, akidai kesi yake inaibua masuala yenye umuhimu kwa umma. Alihukumiwa mnamo mwaka wa 2020 kwa kumuua mpenziwe wakati huo Mohammed Halim kwa kumdunga kwa kisu mara 25.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Pigo kwa mlimbwende wa gereza la Langata baada ya mahakama kukataa ombi la kupunguza kifungo
- - HEADS UP ››
- - KTN Newswrap ››
- - 'END CORRUPTION' ››
- - MISHRA DUMPED ››
- 18 Apr 2025 - Detectives at the Kayole Police Station in Nairobi are holding a senior Imam for the offence of causing grievous harm to at least two persons.
- 18 Apr 2025 - ODM leader Raila Odinga has finally spoken out amid reports of a rift within the political outfit owing to the MoU signed with President Ruto’s UDA that gave birth to the broad-based government.
- 18 Apr 2025 - Seven Chinese nationals have been convicted by the Kapenguria Law Courts for engaging in illegal mining operations along the Wei-Wei River in Sigor, Pokot Central Sub-County.
- 18 Apr 2025 - The Kenya Space Agency (KSA) has cautioned the public to be on the lookout for a debris potentially dropping from the sky.
- 18 Apr 2025 - While China's leaders use their economic and political might to fight Donald Trump's trade war "to the end", its army of social media soldiers are embarking on a more humorous campaign online.
- 18 Apr 2025 - The Ugandan government intends to introduce a law to allow military tribunals to try civilians for certain offences even after the practice was banned by the Supreme Court.
- 18 Apr 2025 - Seated on the pavement outside a bank in central Damascus, Abu Fares's face is worn with exhaustion as he waits to collect a small portion of his pension.
- 18 Apr 2025 - NTSA said it recorded 19 traffic violations on the Nairobi-Nakuru highway
- 18 Apr 2025 - Fathiya says she lost her husband during the chaos and does not know where he is
- 18 Apr 2025 - Farah’s departure comes barely six months after he took up the role.