Rais Donald Trump anaweza kuwaondoa raia wa Gaza?
Rais wa Marekani Donald Trump amekuwa akisisitiza mpango wake wa kuwapa makazi Wapalestina karibu milioni mbili katika nchi jirani ili kuutwaa na kuujenga upya Ukanda wa Gaza.
Mamlaka ya Palestina na kundi la wapiganaji la Hamas walikariri kwamba ardhi ya Palestina "haiuzwi".
Umoja wa Mataifa umeonya kwamba kulazimisha raia kuhama kutoka eneo linalokaliwa kimabavu haikubaliki chini ya sheria ya kimataifa.
Lakini je Donald Trump atafanikiwa? Nani anaimiliki Gaza? Mariam Mjahid anaelezea
#bbcswahili #marekani #gaza
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
13 Feb 2025
- The CS made this proposal amidst greater scrutiny on the intelligence body.
13 Feb 2025
- Their arrest comes after a meeting between CS Opranya and IG of Police Kanja.
13 Feb 2025
- Kimunya had been contesting a High Court ruling in Ksh600 million property.
13 Feb 2025
- The Court of Appeal in Nairobi has directed former Kipipiri Member of Parliament Amos Kimunya to defend himself in a case involving allegations of irregular allocation of public land to a private company.
13 Feb 2025
- Kathiani Member of Parliament Robert Mbui has accused National Assembly Speaker Moses Wetangula of being biased against Azimio la Umoja allied legislators.
13 Feb 2025
- The CS made this proposal amidst greater scrutiny on the intelligence body.
13 Feb 2025
- Busia Senator Okiya Omtatah has intensified his 2027 presidential bid by holding public engagement forums around the country to gather inputs that will inform his vision and manifesto.
13 Feb 2025
- They were received by the Thai army, and are being assessed to find out if they were victims of human trafficking.
13 Feb 2025
- Cherargei had been Kajwang's deputy since 2022.
13 Feb 2025
- Judicial officers directed to release judgments and court orders within 24 hours of delivery.
13 Feb 2025
- Their arrest comes after a meeting between CS Opranya and IG of Police Kanja.
13 Feb 2025
- Kimunya had been contesting a High Court ruling in Ksh600 million property.
13 Feb 2025
- Trump must decide soon if US jeans will still be made in Africa