- 426 views
Rais mstaafu Uhuru Kenyatta ametoa wito kwa wakenya kuja pamoja ili kuwasaidia wenzao waliokumbwa na maafa ya mafuriko kote nchini. Kupitia taarifa rasmi kwa vyombo vya habari hii leo, Kenyatta amewarai wahudumu wa afya wa kujitolea wajitokeze ili kuwasaidia wakenya wanaohitaji matibabu kutokana na mgomo wa madaktari unaoendelea. Wakati huo huo, kiongozi wa azimio Raila Odinga amekosoa namna serikali ya kitaifa inavyoshughulikia maafa ya mafuriko akisema inatoa taswira ya mkanganyiko serikalini na kulaumu ujenzi wa miundombinu dhaifu.
Rais mstaafu Kenyatta atoa wito kwa wakenya kuwasaidia wenzao waliokumbwa na maafa ya mafuriko
- 21 May 2024 - Two Kenyans have filed a case under a certificate of urgency seeking court orders to stop the transition from National Health Insurance Fund (NHIF) to Social Health Authority (SHA) pending a hearing and determination of the case.
- 21 May 2024 - A new form of "therapy" that supposedly energizes patients and replenishes the body is causing a controversy online.
- 21 May 2024 - President William Ruto has praised CCI Global’s new Ksh.6.6 billion ($50 million) call centre in Tatu City, Kiambu County, during his United States tour.
- 21 May 2024 - One of the sectors paid its employees an average of Ksh4 million in 2023.
- 21 May 2024 - The plan is expected to be rolled out in phases having been piloted in specific institutions.
- 21 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Sports Cabinet Secretary Ababu Namwamba on Tuesday, May 21, 2024, inspected the progress of Talanta Sports Centre in Jamhuri. The […]
- 21 May 2024 - Reading Time: 3 minutes The Judiciary has notifi*d court users and other concerned Kenyans over an intermittent outage affecting the e-fi*ling system and caunselist […]
- 21 May 2024 - The Judiciary's e-filing system allows for cases to be filed digitally
- 21 May 2024 - The KUCCPS CEO outlined the three main factors relied upon in the placement criteria.
- 21 May 2024 - The proposed Finance Bill 2024 has been described as a burden for Kenyans and a setback to the economic growth of the country.