- 1,057 views
Rais mstaafu Uhuru Kenyatta amewarai wananchi kuungana na kutozozana ili taifa lisonge mbele. Akisherehekea siku yake ya kuzaliwa akiwa magharibi mwa afrika, uhuru amekuwa akisisitiza umuhimu wa umoja si nchini kenya tu bali barani Afrika. Wakati huo huo, katibu mkuu wa Jubilee, Jeremiah Kioni, amewaambia wakenya, hasa katika eneo la mlima kenya, wasitarajie ushauri au ushiriki wa uhuru katika hali ya kisiasa ya sasa. Haya yanajiri wakati wakenya katika mitandao ya kijamii na hata barabarani wakimtakia rais mstaafu heri ya siku ya kuzaliwa.
Rais mstaafu Uhuru Kenyatta awarai wananchi kuungana na kutozozana ili taifa lisonge mbele.
- 27 Oct 2024 - Kenyans are set to land jobs in various sectors including hospitality, service and construction.
- 27 Oct 2024 - Omanga had been among 10 others appointed to serve in the newly formed commission.
- 27 Oct 2024 - Haaland fires Man City to top of Premier League, Villa held
- 27 Oct 2024 - Power must be exercised in a manner that upholds the law and fundamental rights.
- 27 Oct 2024 - Impact of menopause on women and society
- 27 Oct 2024 - IG Kanja must get to the bottom of increased killings
- 27 Oct 2024 - Raila not out of local politics yet, analysts say of former premier
- 27 Oct 2024 - Outrage erupts over Cherargei's bid to extend term limits
- 27 Oct 2024 - Uhuru Kenyatta: I hold no grudges and ill will against anybody
- 27 Oct 2024 - Silent tragedy: Understanding Sudden Infant Death Syndrome