- 77 views
Rais William Ruto ameagiza wizara zote kuongoza katika shughuli ya upanzi wa miti katika kipindi cha miezi 6 ijayo kuanzia Jumatatu ili kufanikisha ajenda ya serikali ya kuafikia asilimia 30 ya utandu wa miti humu nchini kufikia mwaka wa 2032. Akiongea baada ya kuwaongoza wakenya katika shughuli ya kitaifa ya upanzi wa miti katika msitu wa Kiambicho, Kaunti ya Murang'a, Rais akizifariji familia zilizopoteza wapendwa wao kutokana na mafuriko, alisema kuwa njia pekee ya kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kama vile mafuriko na ukame, ni kupanda miti akiwahimiza wakenya kuunga mkono mpango huo. Na kama anavyotuarifu Timothy Kipnusu, Rais Ruto wakati uo huo alisema serikali inaendelea kuhamisha watu walionyemelea maeneo yaliyo karibu na mito.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Rais Ruto aagiza wizara zote kuongoza katika upanzi wa miti kwa miezi 6 ijayo
- - Citizen TV Live ››
- 20 May 2024 - The Economic Survey of 2023 shows that there are more crimes reported across the country; it shows that 104,842 cases of crime were reported, representing an increase of 19 per cent.
- 20 May 2024 - A Russian court on Monday sentenced a man to 25 years in jail for planning to set fire to a Siberian military enlistment office in 2022, the year Moscow launched its military operation in Ukraine.
- 20 May 2024 - President Joe Biden will host him on the southern lawns of the White House on Thursday.
- 20 May 2024 - Ruto begins his visit on Monday in Atlanta, Georgia where he will visit the Carter Presidential Library and Museum, among other engagements.
- 20 May 2024 - A man was on Monday arraigned for possessing an imitation firearm and ammunition.
- 20 May 2024 - The incident occurred around 1500 hours in the Rapture area, about 15 kilometres east of the Timboroa police station.
- 20 May 2024 - Government seeks to streamline beekeeping
- 20 May 2024 - Photos: President Ruto arrives in Atlanta, US
- 20 May 2024 - Cost of Itare dam project increases to Sh40 billion
- 20 May 2024 - Kakamega county intensifies screening as hypertension cases rise