Rais Ruto aendelea kuutetea mfumo mpya wa ufadhili wa elimu ya vyuo vikuu

  • | K24 Video
    80 views

    Rais William Ruto ameendelea kuutetea mfumo mpya wa ufadhili wa elimu ya vyuo vikuu nchini akisema kuwa mfumo huo utalainisha utoaji ufadhili kwa wanafunzi sawa na kuleta usawa. Mfumo huo umeendelea kuibua maoni kinzani,wazazi wakilalamikia gharama ya masomo kupanda. Ruto amedai kua mfumo huo utasaidia pakubwa wanafunzi wanaotoka katika familia za uchochole