- 5,628 views
Rais William Ruto sasa ameiingiza Marekani katika mzozo wa Sudan baada ya kumpokea kwa mara ya pili ndani ya kipindi cha chini ya miaka miwili, Mohammad Hamdan Dagalo, maarufu kama Hemedti, kiongozi wa moja ya pande zinazopigana nchini Sudan. Rais Ruto, kupitia mitandao yake ya kijamii alisema kuwa katika mazungumzo yake na Waziri wa Mambo ya kigeni wa Marekani, Marco Rubio, walijadili jinsi Kenya inavyotoa jukwaa kwa wahusika wa vita vya Sudan. Hata hivyo, maelezo haya hayamo katika taarifa rasmi iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya kigeni ya Marekani kuhusu mazungumzo hayo..
Rais Ruto asema amezungumza na Marekani kuhusu mzozo wa Sudan
- - Duniani Leo ››
- 23 Feb 2025 - Since taking office last month, President Donald Trump has upended US foreign policy, making diplomatic overtures towards the Kremlin while demanding Ukraine give up its rare minerals to compensate for the wartime aid it received under Joe Biden.
- 23 Feb 2025 - Several thousand supporters of Bulgaria's ultra-nationalist Revival party scuffled with police on Saturday while trying to storm the building of a European Union mission during a protest against the country's plans to adopt the euro next year.
- 23 Feb 2025 - Flash floods across Botswana have killed seven people including three children and uprooted thousands after days of heavy rains, President Duma Boko said on Saturday.
- 23 Feb 2025 - For years, several areas in Marsabit and Isiolo Counties have been designated as 'disturbed and dangerous' zones by the government.
- 23 Feb 2025 - Wiper Party leader Kalonzo Musyoka has criticized President William Ruto's administration for allowing Sudan's Rapid Support Forces, one of the key factions in the country’s civil war, to hold a meeting in Nairobi.
- 23 Feb 2025 - Why tourism is Kenya's best bet to accelerate economic growth
- 23 Feb 2025 - Developer claims Maisha Namba is his, seeks Sh391b compensation
- 23 Feb 2025 - The church must be accountable to transform our Kenyan society
- 23 Feb 2025 - Troubled Uchumi's creditors to know fate of their billions
- 23 Feb 2025 - Mr Yes man! Why Dr Ruto has the perfect deputy in Kithure Kindiki